Sipendi mwanga man.Umewaza nini chief
Kaka hapo sio kulalamika, mbona huja leta zile za ku diss Walinzi wengine waoga πππHata me naonaππ
Me nimeziona hiziKaka hapo sio kulalamika, mbona huja leta zile za ku diss Walinzi wengine waoga πππ
Mlinzi Bora wa Muda wote, nime funga lindo π€π€
Walinzi Mnao wasifia ni nani na nani, mbona sioni??!ππ€.
Kuni linganisha ni utani bro, coz vichwa vyao vina maji ka wame beba ndooπ€ππ
Selikavu ona Sasaπππ€£tafuteni kote, ila kauli yangu ita jirudia, nilisha sema hakuna mlinzi Kama Mimi.
mleteni yoyote mnae mwaminiaπ€π€ππ
Sawa- shangazi , a.k.a mtu mbadiππLeo nitafute mapema.
Nitakuwa lindo.
πππππππKaka mkamwacha Intelligent businessman kalalamika usiku kuchaπ€£