Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Weee bishoo tuu...πππ unanpga mikwara ata kama bishoo uhuni nauweza kuliko ubishooπ
Lunyaa labda kutamba tu, ila mwepesi ka karatasi ya choonikwann mkuu au anatak alete ubishani wa naNi mkaliπ
ile nyimbo ni mbofu kama simbana huwa napita tu, Sina time nayo.
ππ m muhuni wwWeee bishoo tuu...
πππππ
Ngoja ukutane na kina poor panya wa jela
Oyaaa kuna dogo alijinyea ππππππalooohππ
Muundo umegoma fanya mapigo na mwendoHali ya hewa hii mama ππππ
Umekimbia michano kuku wewe ππππππππWe uki taka kunywa Serengeti, ila maisha safari
ile kitu ata kuigusa staki kbsa ππ nsije nkaanza kukimbia bila sababuOyaaa kuna dogo alijinyea ππππππ
Uki shindwa kuni tafsiri, we relax labda uta nielewa Mwakani.Umeongea kinini hiiki
lunya ni trash kama takataka ana swaga tuLunyaa labda kutamba tu, ila mwepesi ka karatasi ya chooni
Lete mistari pimbi mmojaUmekimbia michano kuku wewe ππππππππ
naweza kukupaka machupa kwa mgongo wa futaUki shindwa kuni tafsiri, we relax labda uta nielewa Mwakani.
Mi nna kuacha kana kwamba skujui,Uki shindwa kuni tafsiri, we relax labda uta nielewa Mwakani.
Nipande mnazi π?Muundo umegoma fanya mapigo na mwendo
01:30
Haina kwere arifu, mi bado natalizi kiroho safimi naomba niwatakieni usiku mwema famila yangu ngoja niutafute usngzi sasa wakubwa zangu
Bro kisicho niua, Kita nikomaza kiaskari.Mi nna kuacha kana kwamba skujui,
Alafu bado unanighasi hauhisi kama unautaka uadui..πππ
pamoja kaka mkubwaπHaina kwere arifu, mi bado natalizi kiroho safi
Unanikera kiasi hautambui hali ya sasa, isitoshe jana nimepiga kazi kibaba.Lete mistari pimbi mmoja
Na sasa ukitaka bato na mimi jezi utavua,Bro kisicho niua, Kita nikomaza kiaskari.
So uki nichukia, Ina dhihirisha mi mkali