JamiiForums Usiku wa manane

jana nimekesha mdaa huu ndo naamka aisee na bado sijatoka kitandani ujobless ni mzigo saa 15: 13
 
Jamani Zanzibar mbona masaa hayaendi.yaani kulala kote huku ndo kwanza saa 00:12 mna nia Gani jamani.
Uko sahihi kabisa mkuu,kuna siku nilikuwa pale Maunganui,Nana hotel...... nikalala saa 12 jioni hivi,kushtuka nikajua asubuhi kumbe saa tano usiku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…