Typing errors ni 0633Uko nje ya mdaa ilo lisaa tushalipita mda
Yaani walipolalia ndipo tulipoamkia. Nilisema mapema uzi unafutwa na nikaaga. Anachofurahia nini. Tucheke tu kipenzi hakuna namna π π π π πkuna lijamaa nmeona mahali linachekelea eti mods wamefuta uzi wako πna tangazo ulshatoa kua utafutwa,,nkacheka kmya kmya
π€£π€£π€£wivuYaani walipolalia ndipo tulipoamkia. Nilisema mapema uzi unafutwa na nikaaga. Anachofurahia nini. Tucheke tu kipenzi hakuna namna π π π π π
Uliopitiliza kumbe umeonaee mrembo wangu. Na dawa hawaipati ππππ€£π€£π€£wivu
nimeona,, lakin nkavunga coz ningeingilia tu, matusi ndio silaha ya watu wa humu ndaniππΎUliopitiliza kumbe umeonaee mrembo wangu. Na dawa hawaipati πππ
Yes bora hukuingilia kipenzi. Matusi ndiyo silaha ya wengi. Ila hayalipi bill so uchungu uko palepale π€£π€£π€£π€£π€£nimeona,, lakin nkavunga coz ningeingilia tu, matusi ndio silaha ya watu wa humu ndaniππΎ
namimi nkishaona matusi nakimbia kabisa ππΎπYes bora hukuingilia kipenzi. Matusi ndiyo silaha ya wengi. Ila hayalipi bill so uchungu uko palepale π€£π€£π€£π€£π€£
Yale yako kule. Nilikusaidia kumreport akafungiwa. Maana niliona mdogo wangu hapa atakimbia πππππnamimi nkishaona matusi nakimbia kabisa ππΎπ
aah aseee kumbe π€£π€£π€£aliyekua anasema mm mwanaumeYale yako kule. Nilikusaidia kumreport akafungiwa. Maana niliona mdogo wangu hapa atakimbia πππππ
Ndiyo nikaona nikatishe yale mashambulizi. Si ukaona kimyaaaaaah aseee kumbe π€£π€£π€£aliyekua anasema mm mwanaume
nili ignore coz alkua anantia hasira yaan naandka matusi nafuta,,akawa anaendelea,badae nkaona kmya ππππΎ asante bwan,,Ndiyo nikaona nikatishe yale mashambulizi. Si ukaona kimyaaaa
Karibu, sipendagi kuona mtu anaonewa tu na hana kosa. Nikasema huyu nammaliza. Akikuwa ananiudhi sn ile tabianili ignore coz alkua anantia hasira yaan naandka matusi nafuta,,akawa anaendelea,badae nkaona kmya ππππΎ asante bwan,,
ila labda leo nkwambie,,imefungwa id ila mhusika yupo area sana na id yake ya zamanKaribu, sipendagi kuona mtu anaonewa tu na hana kosa. Nikasema huyu nammaliza. Akikuwa ananiudhi sn ile tabia
Kumbe unamjua vizuri. Nyie mnajuana eeh π π π πila labda leo nkwambie,,imefungwa id ila mhusika yupo area sana na id yake ya zaman
simjui wala hatujuani,ila kisirani maneno ya ovyo nkalima ignore, uuuuweeeeh si akaniandalia id nyingine ππunakua kama huwajui watu wa jf wakikuamliaKumbe unamjua vizuri. Nyie mnajuana eeh π π π π
Ooh kumbe, sikujua alikusumbua na ID yake nyingine pole jamani. Nilichojifunza, mtu akianza kukushambulia usijibu. Mkalie kimya, atatukana atachoka. Kuna mtu ananitag kila comment, utasema nina figo yake ππππsimjui wala hatujuani,ila kisirani maneno ya ovyo nkalima ignore, uuuuweeeeh si akaniandalia id nyingine ππunakua kama huwajui watu wa jf wakikuamlia
Mi nsha ignore watu wa nne sasa,na sjui wanatokea wapi,,sasa utakuta simjib ila hasira zinanpanda balaaππna ignore naachana nae,,ila bora wali mute coz ile id ilkua inapta na yeyote atakae ni tagOoh kumbe, sikujua alikusumbua na ID yake nyingine pole jamani. Nilichojifunza, mtu akianza kukushambulia usijibu. Mkalie kimya, atatukana atachoka. Kuna mtu ananitag kila comment, utasema nina figo yake ππππ