JamiiForums Usiku wa manane

Ni kamzozo! Mi npo macho hamna usingizi kbs
Kuna kazi kitu nafanya hapa kwenye pc nilikiona tiktok hawa Waseng*** AI watatuua na njaaa yaani sasa hivi hata kama haujasoma computer coding unaweza uka design wwbsite kwa kujaza aina ya website unayotaka ma jina lako inakuletea mpaka maelezo yote yaani wewe ni kuandika. Mpaji Mungu Real estate company ima design kila kitu 😂😂😂
 
hatari sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…