JamiiForums Usiku wa manane

Siku hizi Coding hatuanzii from the scratch unachukua tu template unacustomize unaconnect na database 🔥🔥 mzigo unaenda hewani
 
Kuna wale wa nyumba za kupanga wanakula kimya kimya bila wapangaji wenzao kujua haya sasaa hii ndio mida ya kuzamia wakuu......
Hakikisha hupitiwi usingizi huko unakoenda kuzamia,ukijichanganya tuu utazinguliwa na kokolikooo...
Paaap unakuta foleni ya kuelekea kuoga watu na miswaki mkononi asa sijui utatokaje na ulivaa kimagumashi😳😳
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…