Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vipi tajirikipanga85 , Fake P, min -me, Vincenzo Jr , DR SANTOS , To yeye,Kamkuki , Dream Queen , KENZY , No Escape, ephen_ , jooohs , BabaTina, Kaory , Curtiz
Natamani shift ianze muda huu, sina amani nimehamia makazi mapya usingizi hauji, kuna mbu nimesahahu neti, alafu kuna shida ya umeme ni giza nene. Siku nyingine mbaya Kweli kweli
Wahi amara. Tutakukutakipanga85 , Fake P, min -me, Vincenzo Jr , DR SANTOS , To yeye,Kamkuki , Dream Queen , KENZY , No Escape, ephen_ , jooohs , BabaTina, Kaory , Curtiz
Natamani shift ianze muda huu, sina amani nimehamia makazi mapya usingizi hauji, kuna mbu nimesahahu neti, alafu kuna shida ya umeme ni giza nene. Siku nyingine mbaya Kweli kweli
Unataka shift Yanini uanze mapema?Amara ndio nini?
uko wapi mkuu?kipanga85 , Fake P, min -me, Vincenzo Jr , DR SANTOS , To yeye,Kamkuki , Dream Queen , KENZY , No Escape, ephen_ , jooohs , BabaTina, Kaory , Curtiz
Natamani shift ianze muda huu, sina amani nimehamia makazi mapya usingizi hauji, kuna mbu nimesahahu neti, alafu kuna shida ya umeme ni giza nene. Siku nyingine mbaya Kweli kweli
Unataka shift kwa ajili ya nini?Ndio mpaka asubuhi
mbeya au?Kuna mtaa panaitwa "kwa mama John", ni shida tupu
sogea mbeya pazuri mkuu 😁😁😁😁Ndio mbeya mkuu
Pole sana mkuukipanga85 , Fake P, min -me, Vincenzo Jr , DR SANTOS , To yeye,Kamkuki , Dream Queen , KENZY , No Escape, ephen_ , jooohs , BabaTina, Kaory , Curtiz
Natamani shift ianze muda huu, sina amani nimehamia makazi mapya usingizi hauji, kuna mbu nimesahahu neti, alafu kuna shida ya umeme ni giza nene. Siku nyingine mbaya Kweli kweli
Mambo vp chief,,lkn usiku wa manane bado mbona mapema 😂😂
Pole sana chief,kwahiyo wanakufanya uhisi kama sasa hivi ni usiku wa manane au sioNi kweli bado lakini huku nilipo kuna anopheles wenye milio nama zeze, waking'ata ni muwasho hatari
Usiku si usiku, nahisi usiku wa leo utakuwa mrefu mara 5 ya usiku wa kawaidaPole sana chief,kwahiyo wanakufanya uhisi kama sasa hivi ni usiku wa manane au sio
mwake babake tupo shift za usikuSafi tu vipi hapo