JamiiForums Usiku wa manane

Ume nikumbusha profesa mmoja alikuwa na mke wake mdogo, yule mdada alikua akiishi eneo lenye shida ya maji, profesa wa watu alinunua gari na kuajiri dereva kwa ajili ya kuhakikisha mke hapungukukiwi na hata tone moja ka maji !
Kilicho nifurahisha vile walivyo achana tu, mwanamke hata umpe nini hachelewi kukustaajabisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…