02:52 usingizi hakuna nagaragara tuu. Labda ngoja nipate🍺🍺🍺0236
(Itakuwaje)? Si ili ikue lazima imwagiliwe?Location, sasa lindoni na Amarula itakuaje
03:32Dahhh..ngoja niwashe fukuza wachawi
😥😥Walishatangaza nime go?😥😥We kumbe upogo tu
Eeeh, wakina nani hao😥😥Walishatangaza nime go?😥😥
Asante sana mpendwa ....tuko pamojaUtapona usijali tunakupenda tunakujali
Mimi ndio naupendo wa kweli kwako jf nzima hakuna mwengineAsante sana mpendwa ....tuko pamoja