Sure. Nataka nijipe break nijitafute maana nna matatizo mengine mapenzi yakiongeza nayo mtanipoteza.Umefanya maamuzi ya kiume man.. utapata pisi ingine itakayo kuelewa wewe Kama ulivo..Kama cheleaman tu. ✌️
Mad Max nachoamini mimi huyo demu uko nae for 4 years.. Ila sio wa kwanza kwako, utapata mwingine. Kama binadamu Tambua kuwa lenye mwanzo Lina mwisho, ni muhimu kujua hili ili wakati unapofika usiweweseke. As a man just move on na mtoe akilini mwako na ufocus na mambo mengine. Ukimuweka akilini atakutesa sana, najua sio rahisi Kama navoeleza Ila Komaa utoke huko.Asanteni na poleni kwa usumbufu..
Hamna kaka sio tea. Mimi sio Sinza yeye ndio Sinza.Sio. Chai hii mwanangu upo sinza maeneo gani kwanza
Mapenzi hayana lugha wala kazi..Mi fundi magari tu, mapenzi sijui.
Sio tea bro. Hii siku niliumia knm aisee. Acha tu nilifuta everything ila ningeweka screenshot hapa ya msg.Mwanangu sio chai hii
Tena kwa maji ya ChumviMida hii wadau tunabandika maharage
Anajua sina pa kwenda na yeye cake ndio maana anafanya ivo. Like anajua hawezi pitisha 1 day hajatongozwa..Mad Max nachoamini mimi huyo demu uko nae for 4 years.. Ila sio wa kwanza kwako, utapata mwingine. Kama binadamu Tambua kuwa lenye mwanzo Lina mwisho, ni muhimu kujua hili ili wakati unapofika usiweweseke. As a man just move on na mtoe akilini mwako na ufocus na mambo mengine. Ukimuweka akilini atakutesa sana, najua sio rahisi Kama navoeleza Ila Komaa utoke huko.
Huku tunasubir yaive tusonge ugaliTena kwa maji ya Chumvi
Jidada aliisha kulaza .😥
Umeyabandikia kwenye pressure cooker? Au kuni ?😁😁Huku tunasubir yaive tusonge ugali
Nitamsahau tuJidada aliisha kulaza .😥
Sio kwenye pasi kweli 🤣🤣🤣Umeyabandikia kwenye pressure cooker? Au kuni ?😁😁
Fanya magari yawe na nafasi kubwa kwako kuliko jidada. Mkuu 😥Nitamsahau tu
Huu uhuni sasa😁😂😂. Huyu mpishi atakua kwenye P. CookerSio kwenye pasi kweli 🤣🤣🤣
kwenye pasi mpaka asubuhi yameiva 😀😀😀Huu uhuni sasa😁😂😂. Huyu mpishi atakua kwenye P. Cooker
Kuni tuUmeyabandikia kwenye pressure cooker? Au kuni ?😁😁
Sisi hatunywi chai usiku marufuku.😂😂😂