Muweza wa vyoteeDuu aisee kweli Mungu ni wa ajabu
Sent from my VF685 using JamiiForums mobile app
Hapana aiseehNawee ni popo
Mmm haya ila ni saa tisa kasoro tisaHapana aiseeh
Jirani uko wapi nimerudi mwenzio sikuoni tenaJirani nami nasepa, maana naona unaondoka.
Yaan mie hata sielew saa zinakimbiaje kiasi hiki jicho halitaki kufumbaMmm haya ila ni saa tisa kasoro tisa
Naona hutaki kulalawahengaaa haoooo
Naona hutaki kulala
hahahaNaona hutaki kulala
Hakikisha chumba ulichopo kiwe giza hafu fumba macho tu hutochukua muda saaanaYaan mie hata sielew saa zinakimbiaje kiasi hiki jicho halitaki kufumba
Nimelala ila naota nachat jf forum usiku wa manane [emoji26]Mrembo upo macho mpaka sasa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hahaha
halaf nlikuwa nakuwaza kweli kweli
ndio namalizia movie yangu hapa
hahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aiseeh
Nimejaribu nimeshindwa, nimefumba macho karibu lisaa toka nimemuaga kichwa kichafu lakini mambo yamegomaHakikisha chumba ulichopo kiwe giza hafu fumba macho tu hutochukua muda saaana
Yeah namshukuru Mungu kwakweli, shida ni kwamba usiku hakuna usingiz mchana kazi nyingi basi ni kuzeeka tuu kabla ya umri best, hatupati afya kabisahahaha
halaf ule mpango wa kuangalia movie pamoja tu utekeleze bhana.
i hope umeshinda salama Ney
Acha cm kabisa inakata usingizi kama huna uchovu zima kamata shukaNimejaribu nimeshindwa, nimefumba macho karibu lisaa toka nimemuaga kichwa kichafu lakini mambo yamegoma
Okey ngoja nifanye hivyoAcha cm kabisa inakata usingizi kama huna uchovu zima kamata shuka
Usingizi mwemaOkey ngoja nifanye hivyo
aaahYeah namshukuru Mungu kwakweli, shida ni kwamba usiku hakuna usingiz mchana kazi nyingi basi ni kuzeeka tuu kabla ya umri best, hatupati afya kabisa