BabaTina
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 429
- 581
Asante niah...ila ilishakata kitambo sanaPole baba Tina mimi kumekucha zamani kwangu hivi nimemaliza Bf naondoka kwenda kwenye kibarua ila wanasema septrin zinasaidia sana magonjwa hayo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante niah...ila ilishakata kitambo sanaPole baba Tina mimi kumekucha zamani kwangu hivi nimemaliza Bf naondoka kwenda kwenye kibarua ila wanasema septrin zinasaidia sana magonjwa hayo.
hah hah hah umenichekesha sana mkuu..usiombe ukutwe na hali hii, hata mazingira yawe yanatisha vp itakulazimu uende tu maliwatoni hah hah hatari sana aiseeNamsikilizia wife anakoroma tu hapa pembeni yangu...mie tangu saa tatu usiku tumbo linanipigisha marktime kadhaa za maliwatoni...mpaka dakika hii nshagonga safari za toileti kama 4 hivi
Nami huwa usingizi unapaa sana,au kukosa usingizi wa muda mrefuNtakua nautembelea huu uzi, maana nna changamoto za kupata usingizi, nikilala mf saa nne usiku ntashtuka saa saba au nane hapo ndo mpaka kuchele.
Mm nimetoka The Don's Club muda huuHabari za asubuhi jamani!......
maneno meengi kumbe wao ni wa kwanza kwenda kulala. Kukesha kunawafaa wenyewe mabundi!!Wengine wapo lindo.