JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmoja wapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nn kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11Asbh. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua nakunywa maji na kwenda kukojoa tu mpaka kukuche!
Kwa sasa ni saa nane na dakika hamsini na mbili (02:52)
Usingizi umekata baada ya umeme kukatika....Yaani ni joto na kukimbizana na mbu....Bahati nililala mapema tangu mbili kamili, hivyo poa tu navinjari na JF kupitia thread mbalimbali...
 
Usiku wa manane,wafaa sana kwa maombi Mungu atusaidie sana.
Mungu awabariki wote mahali hapa.[emoji120]

Msijisumbue kwa neno lolote ;bali katika kila neno kwa kusali na kuomba,pamoja na kushukuru,haja zenu na zijulikane na Mungu .Na amani ya Mungu,ipitayo akili zote itawahifadhi mioyo yenu na nia zenu katika Kristo Yesu

Wafilipi 4:6-7
 
Usiku wa manane,wafaa sana kwa maombi Mungu atusaidie sana.
Mungu awabariki wote mahali hapa.[emoji120]

Msijisumbue kwa neno lolote ;bali katika kila neno kwa kusali na kuomba,pamoja na kushukuru,haja zenu na zijulikane na Mungu .Na amani ya Mungu,ipitayo akili zote itawahifadhi mioyo yenu na nia zenu katika Kristo Yesu

Wafilipi 4:6-7
Amen
 
Back
Top Bottom