dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,702
- 20,134
Nawe pia Ulale salama....!![emoji292]Usik mwem
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawe pia Ulale salama....!![emoji292]Usik mwem
Kwani ujawai lipiwa mahari?
[emoji120]Mungu awafunike kama kuku afunikavyo vifaranga vyake muwe salama usiku wa leo[emoji120]
Kuuzwa kwa kujitakiaNdo nini!!!????
[emoji35]Jirani kaja mida hii kawasha kiredio chake sautii kubwaaa, mpaka nimeamka, kuamka nasikia tena jirani mwingine wanakwichikwichi +Kitanda Chao kina makelele.wanaona hata aibu.uswahilini ni raha na karaha
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmoja wapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nn kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11Asbh. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua nakunywa maji na kwenda kukojoa tu mpaka kukuche!
oyooooooHELOOOOOOOOOOOOOOOOOOO!
Sijawahi kuwa mtumwa.....Kuuzwa kwa kujitakia
Sio utumwa ni kupenda kwakoSijawahi kuwa mtumwa.....
Kupenda kwangu huwa hakunifanyi niuzwe kwa kujitakia.Sio utumwa ni kupenda kwako
Upo ndani ya ndoa?Kupenda kwangu huwa hakunifanyi niuzwe kwa kujitakia.
Upo ndani ya ndoa?