JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Ili ukeshe bila tabu, ni kuwa na tumbo la kuhara
 
Jirani kaja mida hii kawasha kiredio chake sautii kubwaaa, mpaka nimeamka, kuamka nasikia tena jirani mwingine wanakwichikwichi +Kitanda Chao kina makelele.wanaona hata aibu.uswahilini ni raha na karaha
 
Jirani kaja mida hii kawasha kiredio chake sautii kubwaaa, mpaka nimeamka, kuamka nasikia tena jirani mwingine wanakwichikwichi +Kitanda Chao kina makelele.wanaona hata aibu.uswahilini ni raha na karaha
[emoji35]
 
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmoja wapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nn kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11Asbh. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua nakunywa maji na kwenda kukojoa tu mpaka kukuche!

Nimemaliza kuandika na kupost article mbili fupi mahala nikaona niptiie JF ndio naukuta uzi huu. Ila kukesha mpaka asubuhi humu kwa leo sitaweza. Hongera yako! Ila wale wanaokunywa bia na kisha kupost humu saa hizi huenda wakaandika wasiyokusudia.
 
nimi nipo tu macho.., embu niambieni chochote sasa
 
Back
Top Bottom