Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muone na wewe unataka kujua mambo ya shemeji yako ya nini? Tabia mbaya hiyo ujueuwiiii
hebu tupe habar kamili, kijana ana piga za kibabe?
Hizo ndio shida za kukaa mbalimbali, ila jitahidi tuu usimkwepe shemeji yangu
Ndio inabidi tumsisitize asikikimbize sebuleni akirudishe chumbani tuu hakuna namnadia huyo anakimbia majukumu yake hajui huu ndo muda muafaka wakupetiwa
hahahahaMuone na wewe unataka kujua mambo ya shemeji yako ya nini? Tabia mbaya hiyo ujue
Pole sana aiseehNdo kwanza naweka muvi niangalie kwanza leo nina stress sina usingizi kabisa.
oyoooNaleo tena
Sijui kuna tatizo ganiLeo wahenga wamewahi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hahahaha
hapa usiku wa manane siye ni familia bhana
ukute naweza toa ushauri wa ki saikilojia
Dr Iceman 3D Mauki
tatizo ninusilolijua ney.. tatizo nshachoka mie inageuka kero sasa
Pole mpenzi, pole sanausilolijua ney.. tatizo nshachoka mie inageuka kero sasa
Naona kama kawa hakuna kulalaoyooo
drago karubu na leo tuupoo
Jf usiku wa mananeMida ya kulala hii Wakuu... Au nyie mpo shift ya usiku nini... Au mpo Kwa Trump
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
kuna watu wako alaska now ni saa kumi ndio wametoka jobMida ya kulala hii Wakuu... Au nyie mpo shift ya usiku nini... Au mpo Kwa Trump
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
kama kawaida bobNaona kama kawa hakuna kulala
Vitanda vimejaa upupu kwa kweli.Sijui kuna tatizo gani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haya ngoja dadaako aje akujibu kwa ufasaha zaidi