Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Kama nilivyosema mwanzo leo i keep my words.Jirani please ukitaka kulala usisite kuniambia kuna ujumbe wako nataka kukupa jirani yangu
Nitaondoka utakaposema wewe tu jirani yangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama nilivyosema mwanzo leo i keep my words.Jirani please ukitaka kulala usisite kuniambia kuna ujumbe wako nataka kukupa jirani yangu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kaka umsisitize maana namuona anadalili za kunilaghai kwasababu kuna sehemu nilimfuma anawaambia watu yeye hataki kuoa ataendelea kunywa juice ya malimao eti bado yupo yupo kwanza, alafu mie ananiambia atanioa sijui sio kwamba ndio mkopo usiokuwa na riba huu. Ila usimwambie kitu
Ni watu makini sana very brave guys waweza kuja na sura yako ya tabasamu na bado wakajua una stress [emoji28]i want to see hao watu.
for real!
lets make it happen
inaonekana unashinda na vichwa vzuri
Nakoseaje sasa kwa mfano?
Ila usishangae siku unapewa namba hupo slama kiafya sijui inakuaje apo[emoji23] [emoji23] [emoji23]
ukipewa namba funga hat trik sasa
Teh teh teh sio ile utakuta mwana si wako?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
utakuwa super sub
work hard keep fighting
mwanga nauona uta toboa tu
Jamani usiseme hivyo Manga
"Mvumilivu hula mbivu" komaa na fumbo la imani[emoji23]
Tatizo sio jana au juzi ni mwendo wa kusubili tuuu
Sijapanic kawaida sana
Haina shida tutawasiliana tu
Hii na hisi ni mpaka ishindikane huko ndo ntafiliwa mimi ntasubili tu
Ndio uwe sawa sasa, otherwise utaishia kumuweka kwenye dipi tuu, leta mahari tukupe mtoto mambo ya kumchezea Binti yetu tumegoma. Hapa mbuzi unanunua jumla hakuna chovya chovya usije maliza buyu la asali.sasa nikiwa sawa ntakuchek shemej
halaf shemeji inaonekana ni ktu strict sana wewe!
ila ntafanya fasta
Asante mkuuUsiku mwema mkubwa
Aaaha kumbe ndio mbinu zake eeeh!?Kaka umsisitize maana namuona anadalili za kunilaghai kwasababu kuna sehemu nilimfuma anawaambia watu yeye hataki kuoa ataendelea kunywa juice ya malimao eti bado yupo yupo kwanza, alafu mie ananiambia atanioa sijui sio kwamba ndio mkopo usiokuwa na riba huu. Ila usimwambie kitu
Nipo na duvet NgodaUpweke nao ni ugonjwaa...[emoji6] @Shunnie hauoni baridi ulipo?
Kaka hapendi watu watapeli nimekuibia sirisasa nikiwa sawa ntakuchek shemej
halaf shemeji inaonekana ni ktu strict sana wewe!
ila ntafanya fasta
Yaaan nyie [emoji23][emoji23][emoji23]acha niendelee kulalaKwi kwi kwi!!
hahaha.utashangaa una ambiwa yaan fujo zioote zile kumbe umemeumia enkaNakoseaje sasa kwa mfano?
Ila usishangae siku unapewa namba hupo slama kiafya sijui inakuaje apo[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Aaaha kumbe ndio mbinu zake eeeh!?
Sasa hata kwenye masenema hakuna kwenda naye, asije kukudanganya akachenjua makinikia.
Endelea kukata tamaaMimi mtasubili sana tu yani ni bado hakieleweki
Shunie jamani mbona hukuniaga?Nipo na duvet Ngoda
Woiiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ni kweli tena nipo std sevenAisee pale nahisi naongea na mtoto wa shule mana si marudio haya itabidi ni vumilie sana ili ipatikane. Hiyo nafasi na nilivo domo zege kazi nnayo
[emoji3][emoji3][emoji3]Ney ghafla nilisinzia naingia humu na kuta manga kanimalizaShunie jamani mbona hukuniaga?
hahahahaaNi watu makini sana very brave guys waweza kuja na sura yako ya tabasamu na bado wakajua una stress [emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mbavu zanguhahaha.utashangaa una ambiwa yaan fujo zioote zile kumbe umemeumia enka
eendelea kukaa pembeni hadi uponee [emoji23]