Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,805
- 15,529
Usipoteze tena ni muda wa kumpet pet huko nyuma usirudi bola salama yatoshaahsante sana bro itabid nipitie pitie nione povuu.
huwa nakuaminia ndugu yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usipoteze tena ni muda wa kumpet pet huko nyuma usirudi bola salama yatoshaahsante sana bro itabid nipitie pitie nione povuu.
huwa nakuaminia ndugu yangu
usjali rafikiHuyo ana makando kando yake. Somo langu halielewi namsubili kama atakua tayari ntampokea
aaahNa Utoe maelezo yaliyonyooka hapo.
aaahUsipoteze tena ni muda wa kumpet pet huko nyuma usirudi bola salama yatosha
Ha ha haaa bibie katosheka na uwepo wake hataki maelezo nimependa hapaNa Utoe maelezo yaliyonyooka hapo.
Safi kabisa shaka ondoausjali rafiki
juhudi zetu kama nduguzita endelea mpaka mwisho
Vema kwa kunielewaaaah
sawa bro ki ukweli sita potea
teh teh ngoja nsifufue makaburi kweli
Nimemuona jinsi alivyolainika kwa furaha na hataki hata maelezo ya ufafanuzi. Hongera zake bwana shemeji.Ha ha haaa bibie katosheka na uwepo wake hataki maelezo nimependa hapa
Okey honeyhahaha
nincho mkubali shem ana ishi kwa principles na huwa hazivunji
but my lady usiwasikilize hao watu wengine huwa ni waongoo tu
Kabisa yani dah kupendwa raha sanaNimemuona jinsi alivyolainika kwa furaha na hataki hata maelezo ya ufafanuzi. Hongera zake bwana shemeji.
Yani kukupa tumaini vyote vile sijahusika kwwli wataka nionekanaje?Okey honey
Always i trust you, sitawasikiliza tena japo baadhi walitaka kuuteka moyo, acha niwe mkweli walijipanga jamani mistari yenye vina ilitaka kunivutia kwa upweke niliokuwanao shukuru tuu nakupenda unless otherwise ungenikosa mpz moyo ulichoka jamani [emoji6]
uzuri najua huwa una intelligency kubwa na tumeamua wenyewe kuridhiana mamie ake, ila umenitisha hapo umesema walileta mistari ya vina [emoji23]Okey honey
Always i trust you, sitawasikiliza tena japo baadhi walitaka kuuteka moyo, acha niwe mkweli walijipanga jamani mistari yenye vina ilitaka kunivutia kwa upweke niliokuwanao shukuru tuu nakupenda unless otherwise ungenikosa mpz moyo ulichoka jamani [emoji6]
Jirani sijui hata yupo wapi japo nilikuwa nakutana nae mitaa mingine tuuwap Kichwa Kichafu jirani wa Ney!
Sanaa aiseee.Kabisa yani dah kupendwa raha sana
ujue yule ni afande ambaye sometimes hulala kazinJirani sijui hata yupo wapi japo nilikuwa nakutana nae mitaa mingine tuu
Kaka kupenda ugonjwa maelezo mengine ukipewa yatakuumiza ni bora kutokuyajua maana uwezo wa kumuacha sina kwanini nitese nafsi yangu? I love him so much and he know that what should i do mybrother? Let it goNimemuona jinsi alivyolainika kwa furaha na hataki hata maelezo ya ufafanuzi. Hongera zake bwana shemeji.