Neybright
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 5,690
- 14,477
Thank you babyyou are amazing honey, nothing will shake my love for you either, with you am happy my love
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thank you babyyou are amazing honey, nothing will shake my love for you either, with you am happy my love
love you more[emoji8]
Love you too baby
Namnatakiwa kuyafanya kuwa Rasmi..Ningepoteza mwelekeo tuu mpz ila sio kuanguka, tofautisha kuacha njia na kuanguka korongoni you're the best honey be happy [emoji4]
he z a gud man[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
I like my jirani
shemeji urasmi si ndio umeanza hivo na wewe una taarifa tayariNamnatakiwa kuyafanya kuwa Rasmi..
Hakuna maandalizi yaliyowahi kukamilika kiwepesi. Dhamira njema hudhihirishwa na matendo mema.
Kwa niaba ya familia nimesisitiza.
Kaka kijana kakupa nini? Au ndio mambo ya pay in advance [emoji6]Namnatakiwa kuyafanya kuwa Rasmi..
Hakuna maandalizi yaliyowahi kukamilika kiwepesi. Dhamira njema hudhihirishwa na matendo mema.
Kwa niaba ya familia nimesisitiza.
haya hayaa nakuonaaTunaliamsha dude
Taarifa ninayo na nimewaarifu wakubwa wengine Wa familia.shemeji urasmi si ndio umeanza hivo na wewe una taarifa tayari
[emoji3][emoji3][emoji3]he z a gud man
ila nina jirani huyu kwangu analeta fujo na mziki sjui kasha kunywa now
yaan ana keshesha watu kwa lazma hapa
Mkuu karibuuu
Haha haha!Kaka kijana kakupa nini? Au ndio mambo ya pay in advance [emoji6]
Mbona unanisukumizia mapema mno kakaangu?
Haha haha...Tunaliamsha dude
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Aisee wewe hua huyaoni? Basi ntakua na langu moyoni bila kujijua ha ha haaa mana ana nifurahisha sana siku akija atoe maelezo mana kapunguza kitu kwangu
Cc@dark angle
haha huyu jirani ni jipu halaf anapiga nyimbo za ki bar bar vile[emoji3][emoji3][emoji3]
Huyo hafai kwenye jamii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haha haha!
Kijana amevuka vetting ya awali[emoji28]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kaka kijana kakupa nini? Au ndio mambo ya pay in advance [emoji6]
Mbona unanisukumizia mapema mno kakaangu?