JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Hiz silaha mlizotumia kunishambulia ni za Iran au Russia?
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
ngoja nimtafute sameja Shadow7 mkuu mwenzio maji ya shingo
Tajiri tajiri tajiri
Nimekuita mara tatu aiseeeee
 
Yupo jukwaa la siasa kule....
Ametulia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kama sio yeye.....
Ila sasa ww unawaza kumtibua ,πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mwenzako yule kuna mda zina restart ujue eeeh
🀣🀣🀣🀣 Ana baby wake mpya anamtia wazimu kila muda anamtag, wizo penzi limemlevya
 
🀣🀣🀣🀣 Ana baby wake mpya anamtia wazimu kila muda anamtag, wizo penzi limemlevya
Wizo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kumbe yupo kwa penzi jipya ...
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ Kweli duniani kuna mambo..
Kapata wa kufanana nae sasa au. Bora liende πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wizo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kumbe yupo kwa penzi jipya ...
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ Kweli duniani kuna mambo..
Kapata wa kufanana nae sasa au. Bora liende πŸ˜‚πŸ˜‚
Halafu wizo ndio alimpa intel jina la mabakuli ujue 🀣🀣🀣🀣
 
Usimfungie sana ila usimsogelee karibu atakutafuna [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
sawa dada angu hautoniskia teinaaaa[emoji2294] nikirudia bora umuite shem aje anisemee maaan na yeye anamaneno mazito[emoji38][emoji38] sitamani kupishana nae kweny engo mbayaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wewe hapo bado wizo ajafika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dada lazima akufundishe [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]

nafata ushauri wa dada[emoji81][emoji81][emoji81] sitakiwi kukusogelea qabisaaaaaa[emoji1551][emoji1551][emoji1551]
 
sawa dada angu hautoniskia teinaaaa[emoji2294] nikirudia bora umuite shem aje anisemee maaan na yeye anamaneno mazito[emoji38][emoji38] sitamani kupishana nae kweny engo mbayaa


nafata ushauri wa dada[emoji81][emoji81][emoji81] sitakiwi kukusogelea qabisaaaaaa[emoji1551][emoji1551][emoji1551]
Usijali yameisha mdogo angu πŸ˜˜πŸ˜˜πŸ˜˜πŸ’‹πŸ’‹
 
nimeogopa sana,
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
mmejibishana very polite
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
halafu sisi unatuona unatumudu
Mnyakyusa mwenzangu huyo..sijui kwanini katika wengi yeye mmoja wapo niliyechagua kumweshimu.But no worry kama kuna sehemu umeona nimepunguka na sijawatendea haki I swear hutoona hiyo shida tena.I jst respect you allπŸ™πŸ½πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½
 
Back
Top Bottom