Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Ndoto zinakata usingizi, nimesinzia nimeota mauza uza usingizi umekata.0111 Dah ndoto nyingine znatisha sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndoto zinakata usingizi, nimesinzia nimeota mauza uza usingizi umekata.0111 Dah ndoto nyingine znatisha sana
😁😁😁 ,utalala tu bila hata kujijuaSina umeisha piii
Hatulali?0135+
Walinzi hawalali ni kukeshaHatulali?
🤸🤸🤸Walinzi hawalali ni kukesha
Duuuh!Usingizi umekata kabisa, na shemeji yenu hataki kabisa hapa kila nikipeleka mkono anapiga mateke
Unashtuka usingizi unapaa wenyeweNdoto zinakata usingizi, nimesinzia nimeota mauza uza usingizi umekata.
Noma sana mzee Mbalizi, imebidi nikimbilie huku JF kubuy timeDuuuh!
Ndoto niliyoota ni lazima ningeshtuka tu.Unashtuka usingizi unapaa wenyewe
Ni hatari, kulala na mama chanja pembeni yako halafu akakunyima "chakla" ya ndoa sio poa aseeeNoma sana mzee Mbalizi, imebidi nikimbilie huku JF kubuy time
Hakuna kupumzika ukisema upumzike ni Taabu mpaka ndotoniNdoto niliyoota ni lazima ningeshtuka tu.
Kabisa, mimi wa kuota wanataka kunitairi 😥 nmefurukuta ndio nikashtuka.Hakuna kupumzika ukisema upumzike ni Taabu mpaka ndotoni
Kemea ndoto mbayaHakuna kupumzika ukisema upumzike ni Taabu mpaka ndotoni
HahahahaaaaKabisa, mimi wa kuota wanataka kunitairi 😥 nmefurukuta ndio nikashtuka.