Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naogopa kufa kwasababu wanaokufa wote huwa wanalalamika kwa maumivu makali wakiwa mwishoni na wengine kutetemeka, wengine wanatoa machozi kabla hawajafarikiNinafanya zaidi ya miaka kumi mbona sijafa na kwa nini unaogopa kufa😁😁
Kwa nini hukuogopa kuzaliwa 😁😁Naogopa kufa kwasababu wanaokufa wote huwa wanalalamika kwa maumivu makali wakiwa mwishoni na wengine kutetemeka, wengine wanatoa machozi kabla hawajafariki
Naogopa kufa na huwa nafanya vitu nikiamini nina siku chache za kuishi hivyo sifanyi vitu kwa ufanisiNaogopa kufa kwasababu wanaokufa wote huwa wanalalamika kwa maumivu makali wakiwa mwishoni na wengine kutetemeka, wengine wanatoa machozi kabla hawajafariki
Kwasababu huenda sikuwa najitambua au sikuwa na uwezo wa kutambua baya na zuriKwa nini hukuogopa kuzaliwa 😁😁
Naomba ustop hizo topicKwa nini hukuogopa kuzaliwa 😁😁
Mipango yenyewe ipo sasa ??Huu muda tulivu ndio ufikirie vizuri na kupanga mipango vizuri
Haaa matesoMipango yenyewe ipo sasa ??
Napangaje mipango na nilipo panga nasikia saut za jiran akilima wa watoto.
Good Vin. Salamalekoo
Good morning enzo akeee! Ndio naamka
Good morning Cassano'...!!
Ndo mimi hapa mkuu .Amna... Poor brain simjui hata...
Aleykum selam kwema 😎Good Vin. Salamalekoo
Good morning mkuu
Amen 🙏Good morning Cassano'...!!
May God's undoubtedly blessings be upon you..!!🙏
😎😎😎Ok wasalimie sana lindiGood morning enzo akeee! Ndio naamka