Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
[emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]Eti wenye husda[emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]Eti wenye husda[emoji1787]
Basi naacha [emoji23][emoji16][emoji16]Utaniudhii
Usifufue nyuzi zangu, wewe kasome kimyakimya kama unataka[emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]
Siendi kwanza umezifunga [emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]Usifufue nyuzi zangu, wewe kasome kimyakimya kama unataka
Hapo sawa! Tena subiri nikasome uzi wangu wa jeshiniBasi naacha [emoji23][emoji16][emoji16]
UmejuajeSiendi kwanza umezifunga [emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]
Kausha basi enzo akeee! 😎Nishaenda nimeutembelea wa jeshini kwanza [emoji16][emoji23]
Siyo wetu, ngoja kuna uzi unanitukana tu. Tena matusi ya nguoni. Nikajua umefutwa kumbe bado, mods wanafuta matusi tu. Ule wetu uongozi walisema, hakutakuwa tena na nyuzi za aina ile za vocha. Zinaleta malumbano. Watu wanazireport sana. Mimi sikutaka ufungwe, ila nilipoambiwa sikuwa na jinsi.Ila ulikua una vibe, ukiingia lazima ucheke
Eeeh! Kumbe walikua wanaureport sanaaSiyo wetu, ngoja kuna uzi unanitukana tu. Tena matusi ya nguoni. Nikajua umefutwa kumbe bado, mods wanafuta matusi tu. Ule wetu uongozi walisema, hakutakuwa tena na nyuzi za aina ile za vocha. Zinaleta malumbano. Watu wanazireport sana. Mimi sikutaka ufungwe, ila nilipoambiwa sikuwa na jinsi.
Kuna nyuzi za kufufua nyingine kausha lioneeUmezifunga acha uwoga [emoji23][emoji16]
Sababu ya malumbano ,huwa ni nini haswa? Mbona ni uzi wa kawaida tu ?Siyo wetu, ngoja kuna uzi unanitukana tu. Tena matusi ya nguoni. Nikajua umefutwa kumbe bado, mods wanafuta matusi tu. Ule wetu uongozi walisema, hakutakuwa tena na nyuzi za aina ile za vocha. Zinaleta malumbano. Watu wanazireport sana. Mimi sikutaka ufungwe, ila nilipoambiwa sikuwa na jinsi.
Yes. Na yale matusi. Tuyaache tu wasije ufunga huu uzi nao. Kama hii ndiyo furaha yao basi wakaipate.Eeeh! Kumbe walikua wanaureport sanaa
Upi huo uliofungwa
Yes! Bora tuache wasije kuja hapa pakawa padogo😂Yes. Na yale matusi. Tuyaache tu wasije ufunga huu uzi nao. Kama hii ndiyo furaha yao basi wakaipate.
Yeah, ulikuwa uzi wa kawaida sana. Ila watu wakaanza tukana mwanzo mwisho. Ikawa vurugu. Ikasemekana watu wamehama majukwaa wako pale nyie 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sababu ya malumbano ,huwa ni nini haswa? Mbona ni uzi wa kawaida tu ?
Achana nao,maisha yanaendeleaYeah, ulikuwa uzi wa kawaida sana. Ila watu wakaanza tukana mwanzo mwisho. Ikawa vurugu. Ikasemekana watu wamehama majukwaa wako pale nyie 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Fungua bana, tukajimwae mwae. Mimi sijui hata cha kufungua siyo muanzisha nyuzi mimi, ningefungua.Sijui kwanini,au nimepigwa juju?😓
Sasa kuna uzi wa vocha za bure ,halafu ukaze fuvu kwenye nyuzi ngumu ,na zisizotoa suluhu ni kulaumu tu si uchizi huo🤔Yeah, ulikuwa uzi wa kawaida sana. Ila watu wakaanza tukana mwanzo mwisho. Ikawa vurugu. Ikasemekana watu wamehama majukwaa wako pale nyie 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣