Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anhaa mzee unalinda kweli au upo na mawazo biashara hazijaenda sawa .Vijana kazi ya Ulinzi naona imewashinda, hadi Wazee tumeamua kuja kuokoa jahazi 🤗
12:23am
Saa 6 ni usiku wa manane? Au umetia tu sign fake akee🙄00:17
Huo muda ndio tunachukua silaha walinzi ephen_ akee🙂Saa 6 ni usiku wa manane? Au umetia tu sign fake akee🙄
Jana hujalinda ulitia sign ukaenda kulalaHuo muda ndio tunachukua silaha walinzi ephen_ akee🙂
Nililinda ila guard kamanda mkuu hataki tutumie simu lindoniJana hujalinda ulitia sign ukaenda kulala
Anhaa mzee unalinda kweli au upo na mawazo biashara hazijaenda sawa .
Mimi nipo Kuna tukio limetokea kilabuni wakati tunakunywa ulanzi limeninyima Raha na amani kabisa .
Kabisa, hasa ukiwa na majukumu mazito ya KimaishaKuna umri ukifika usingizi nao unajitenga labda
Wazee hatukuwa nyuma kwenye suala la Ulinzi wa Uzi wetu 🤗Wazee mpo?