min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Sure mkuu ,unapiga ka wine kila ukila ni nzuri mno kwenye digestion mkuuUmetimia mwezi kaka sijagusa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure mkuu ,unapiga ka wine kila ukila ni nzuri mno kwenye digestion mkuuUmetimia mwezi kaka sijagusa
Nataka kujaribu kongoro kwenye pressure cooker sijui litaiva eti Fake P nipe MuongozoSure mkuu ,unapiga ka wine kila ukila ni nzuri mno kwenye digestion mkuu
Na kitunguu saumu mixer pilipili mbuzi na maji ya kutosha mixer karoti na pembeni napika chapati 😎😎😎😎😎🤟🤟🤟🤟Tupia tangawizi ya kutosha linaiva vuzuri tu
Hiyo hatari mkuu😆Na kitunguu saumu mixer pilipili mbuzi na maji ya kutosha mixer karoti na pembeni napika chapati 😎😎😎😎😎🤟🤟🤟🤟
Zikinipanda dodoma sio mbali 😎😎😎Hiyo hatari mkuu😆
Aisee noo tajiri siwezi kukuteta hata kidogo ndugu yangu vijana wamekuambia uwongo haoVincenzo Jr imekuaje hiyo ID yako? Sijaelewa. Na eti ulikuwa unaniteta wapi tena? 🤣🤣🤣🤣🤣
Pole Mkuu 🤗Ni hiyo hiyo kaka ,hiyo siwezi kuinywa tena haina maelewank mazuri na kichwa changu
Siwezi kumteta tajiri yangu hata kidogo 😎Vincenzo Jr imekuaje hiyo ID yako? Sijaelewa. Na eti ulikuwa unaniteta wapi tena? 🤣🤣🤣🤣🤣
Nipo hai nashukuru sema usingizi no
Mambo magumu kitaa akili inaenda resiii. Yaani diet simple ya ugali maharage mpaka ukune kichwa....haya maisha bwanaPole mkuu kama kuna mambo yanazungusha ubongo
Naelewa brother japo hayaepukiki ndio maana tunaamka na kupambana tu hadi levels zitukubali. So Usiwaze champ mambo yatakaa fresh muda ukifikaMambo magumu kitaa akili inaenda resiii. Yaani diet simple ya ugali maharage mpaka ukune kichwa....haya maisha bwana