Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
3:11 AM Lidocaine😎😎😎😋😋😍
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
humu zipo njemba tu 😂😂😂🤣Hivi humu usiku kunakuwaga na mademu?
Duhhumu zipo njemba tu 😂😂😂🤣
Tupo wake za watu, Mr anakoroma kama gari bovu mpaka usingizi unakataKama kuna demu yuko online aje inbox
Hata wewe una koroma ni vile ukilala hujijuiTupo wake za watu, Mr anakoroma kama gari bovu mpaka usingizi unakata
Kukoroma kwangu basi kuzuri, hakumzuii Mr kulalaHata wewe una koroma ni vile ukilala hujijui
Dah nimekosa bahati njoo basi inbox now hata kama ni aaubuhiTupo wake za watu, Mr anakoroma kama gari bovu mpaka usingizi unakata
Kumbe we mswahili hivi🤔Tajiri tumepotezana, huu uzi ndiyo uzi pekee unaweza ongea chochote na zaidi ni usiku wa manane. Pia una amani na upendo huu uzi. Udambwi dambwi kama wote tajiri...
🤣🤣🤣😂ushauri umechelewa sanaa.....shamla 🚫Hahaha hio ndio aina ya wanawake ambao siwataki.
Ila sikushauri umwache, una mke mzuri sana.