Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hivyo kumekucha muda wa kuchange shiftLeo mbu sana
Ukijipaka lotion hii inasaidia sana, mmbu hawapatani nayo kabisaLeo mbu sana
Ina harufu ya kuleta mafua bora Yale mafuta ya mgandoUkijipaka lotion hii inasaidia sana, mmbu hawapatani nayo kabisaView attachment 3099237
Ndioo Shem 😂Mnakeshaga kumbe
Leo uje tukeshe woteAsantee
Tulia mkuu 😂We naee ahsante ya nini bhana 😂😂
Anyway niangalizie hapo chini kama unaona idadi ya membaz waliopo humu
Naomba Leo tukeshe wote then naacha kukeshaWewe unalala muda gani sasa. Tenga muda wa kupumzika upate usingizi
Af kweli me mwenyewe sioni. Naona kama kuna maandishi kwa juu yameongezeka sijui yana maana gani "As Code here"Iko hivi hapo sehemu ya kuandikiaaa mkuu kwa juu huwa kuna idadi ya wasomaji wa uzi sasa wewe unawaona??
Kumbe hii ni usiku wa manane16:40 napita tu.
LoohMe mwisho saa 7
Nitaweza kweli, tufanye saa 10 basi kukielekea mapambazuko. Si utakuwa machoLeo uje tukeshe wote
Bila shaka Upo singleNdioo Shem 😂
😔lala ile Mida yangu bhnaMe mwisho saa 7
Mbona jana ghafla ulipotea😔lala ile Mida yangu bhna