JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Madame B unakuja lini dsm!?
acha kumsumbua mummy angu
mbona hawa alikuwa na mwanaume mmoja adamu
wewe uhusiano naye umeanza lini ?
Ni siri yetu hiyo ila mwezi huu nilimfukulia kaburi la miaka ya 2013 huko akasema atanipa maufundi flani flani 😄😄
Yuko dom nataka aje dsm tufanye yetu ramada hotel
Madame B kwahiyo una wanaume wengine mimi naona tuachane🙄
Hapana, mbona uko peke yako laaziz?
Madame B umesikia nakuacha kwa hili🙄
Thubutu siachiki mimi.
🤣🤣🤣🤣🤣 Poleee mkuu let's share acha kususa
PSL god ujue nikiachika na huu ushangazi nani atanitaka? Mbona Genius Man ananimudu tu.
Nikiachika ujue nakuja kwako mazima🥺🥺🥺
 
Back
Top Bottom