JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Niko poa.. Bhana mambo si yaligoma😂😂😂nimepata shida sana aseeh, dj nxt time walete taratibuu
the dj right now 😂😆
FB_IMG_17390015354903480.jpg
 
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.

Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11 asubuhi. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua KUFANYA IBADA Tuuuu!
Uiseilam haukuwi marekani wala uraya ila idadi ya wahamiaji wa kiisam kama wahamiaji wengine wanaongezaka uraya na marekani. Wakimbizi na wasaka fursa kutoka nchi zenye idadi kubwa ya waislam inaongeza. Pili wazungu hawapendi kuzaa tena hata wakizaa wanaza mmoja au wawili. Huku wahamiaji wakitotoa kama kuku. Kunatafauti kubwa ya uislam kukuwa na waisilam kuongezaka uraya na marekani. Kuongezeka waislam maana yake kuongezeka wahamiaji wa dini hiyo sehemu husika. Wakati kukuwa kwa Islam maana yaki ni kuongezeka kwa watu wanao acha imani zao na kujiunga na imani ya kiilam.
 
Back
Top Bottom