Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi tangu 2016 nilikuwa mtu wa kutembelea majukwaa mbalimbali leo hatimae nimejiunga na jfTuko wengi mi kuna uzi nauandaa kulizungumzia jambo kama hili
Ww mbona kama ni linjemba aka likijeba la siku nyingi humu?Hata mimi Nimeview as a guest since 2009 leo Ndio nime-join.
Karibu mgeni+ wageni wengineo, mkiweza piteni piten na kule "Stories of change" msome, muelimike na mpige kura( mkiwiwa).Bhana leo asubuhi nikiwa napitia jukwaa mbalimbali hapa hapa JF nikapata alert kwamba nimebakiza ku-view post 5 kama guest
Nikachukulia mzaha nikaendelea ku-view post mbalimbali ghafla napata ujumbe siwezi tena ku-view kama guest hivyo nifungue account
Bila hiyana nikafanya hivyo, nimekuwa niki-view kama guest tangu 2017. Leo imenilazimu kufungua account
Ata MimiMimi tangu 2016 nilikuwa mtu wa kutembelea majukwaa mbalimbali leo hatimae nimejiunga na jf
Tupo wengi mkuu hadi mimiBhana leo asubuhi nikiwa napitia jukwaa mbalimbali hapa hapa JF nikapata alert kwamba nimebakiza ku-view post 5 kama guest
Nikachukulia mzaha nikaendelea ku-view post mbalimbali ghafla napata ujumbe siwezi tena ku-view kama guest hivyo nifungue account
Bila hiyana nikafanya hivyo, nimekuwa niki-view kama guest tangu 2017. Leo imenilazimu kufungua account
Yan wametuweza aiseeBhana leo asubuhi nikiwa napitia jukwaa mbalimbali hapa hapa JF nikapata alert kwamba nimebakiza ku-view post 5 kama guest
Nikachukulia mzaha nikaendelea ku-view post mbalimbali ghafla napata ujumbe siwezi tena ku-view kama guest hivyo nifungue account
Bila hiyana nikafanya hivyo, nimekuwa niki-view kama guest tangu 2017. Leo imenilazimu kufungua account
Ilikuwa raha unasoma unaenda zako leo tumekuwa wageniTulikuwa wengi tunaview kama Gest