Mrs kuweza
Member
- Sep 9, 2024
- 15
- 54
Cjuh kuitumia naona kama ina mambo mengi uwa nasoma tu then napita hvi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo ushawezaCjuh kuitumia naona kama ina mambo mengi uwa nasoma tu then napita hvi
Ndo ushaweza
Cna uhakika ngoja tuoneNdo ushaweza
Kwa hiyo umechukia?🤔Bhana leo asubuhi nikiwa napitia jukwaa mbalimbali hapa hapa JF nikapata alert kwamba nimebakiza ku-view post 5 kama guest
Nikachukulia mzaha nikaendelea ku-view post mbalimbali ghafla napata ujumbe siwezi tena ku-view kama guest hivyo nifungue account
Bila hiyana nikafanya hivyo, nimekuwa niki-view kama guest tangu 2017. Leo imenilazimu kufungua account
Mimi kuna uzi niliuona una replies 03 ila views 3kNyie ndio wale uzi una views 20k na replies 10. Kumbe wengi mlikua hamna uwezo wa kucomment.
Watu Wana roho ngumu sana mkuu just imagine MTU kama mwashambwa anasema mama Samia ni mungu halafu huwezi kumjibu unaendelea kuperuz tu..Mimi hakinishangazi mtu kufungiwa kwa sababu hajawa registered kinanishangaza mimi ni mtu unaweza vipi kuingia Jamiiforums kufungua na kusoma mada mbalimbali for more than 5 years then unakosa hata hamu ya kujibu au ku-share chochote kuhusiana na mada unazozisoma?
Nyie ndo mmetuchelewesha miaka mingi maana tunaompinga mwashambwa tunakua wachace sana maana nyie mnaishia ku-view TU... Kufikia kesho nataka nione mkimdandia Mwashambwa kwenye nyuzi zakeNimejisajili hakuna namna
Ww unataka uwe unachungulia mbinguni bila kuwa muhusika?Kama kweli mnafanya hivi sidhani kama ni sawa. Kwanini iwe lazima mtu kuwa member ndo aweze kutembelea jukwaa?
Lazima nyingine pia uwe demu wangu, ni masharti ya jf. PM Yako ntakua nakuja ninavyojisikia... Ukifunga Pm unafungiwa account.Naipenda jamii forum nimefurah kujiunga japo kwa lazma
Shukrani Mkuu nitafanya hivyo. P/se Naomba maelekezo yakuweza kuwasiliana nanyiKaribu tena.
Tunaweza kuirejesha hiyo ya 2014; wasiliana nasi ila kuna maswali machache utatakiwa kujibu ili tujiridhishe ni akaunti yako
Kwa gear hii waliyokuja nayo jf, humu ndani hapatatosha.Ongezeni mikeka wageni ni wengi sana.
😂 bila jf nadhani kuna kitu kikubwa ningekuwa nakikosa, hongera sana kwa kuanzisha jukwaa hili mkuu.Ndo ushaweza
Nyie ndio wale uzi una views 20k na replies 10. Kumbe wengi mlikua hamna uwezo wa kucommealafu ajabu kama Mimi nlishajarbu kujiunga nikashindwa ilajana baada ya kupigwa pin chap tuu nkaona nimeweza kujiunga Nathan wameweka pia mfumo rahs wakujiunga binafs nimefahiaaa
Ni kosa kisheria?Ww unataka uwe unachungulia mbinguni bila kuwa muhusika?