Cassnzoba
JF-Expert Member
- Feb 26, 2022
- 3,661
- 6,913
Sasa nyie mlikuwa mnadhani kwamba ukiwa memba mb's zinaisha sana au hahahahatupo wengi kumbe 😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa nyie mlikuwa mnadhani kwamba ukiwa memba mb's zinaisha sana au hahahahatupo wengi kumbe 😄
Yaani ndo nawashangaa, mm kuwa guest nilianza toka 2017 mpka 2021 ila 2022 nikajoin ndani...Mlikuwa mnaogopa nini kujiunga wakati wote humu anonymous
Karibu jamvini mkuu, mimi nilikuwa guest kwa miaka miwili 2009/10 mpaka nilipofungua akaunti Septemba 08, 2011.Bhana leo asubuhi nikiwa napitia jukwaa mbalimbali hapa hapa JF nikapata alert kwamba nimebakiza ku-view post 5 kama guest
Nikachukulia mzaha nikaendelea ku-view post mbalimbali ghafla napata ujumbe siwezi tena ku-view kama guest hivyo nifungue account
Bila hiyana nikafanya hivyo, nimekuwa niki-view kama guest tangu 2017. Leo imenilazimu kufungua account
Yaaani ni kweli Serikali ya CCM imeshindwa kuwamata hao Wahalifu au ni danganya Toto Tu??? Hatuko salama kabisaBhana leo asubuhi nikiwa napitia jukwaa mbalimbali hapa hapa JF nikapata alert kwamba nimebakiza ku-view post 5 kama guest
Nikachukulia mzaha nikaendelea ku-view post mbalimbali ghafla napata ujumbe siwezi tena ku-view kama guest hivyo nifungue account
Bila hiyana nikafanya hivyo, nimekuwa niki-view kama guest tangu 2017. Leo imenilazimu kufungua account
AmenYaaani ni kweli Serikali ya CCM imeshindwa kuwamata hao Wahalifu au ni danganya Toto Tu??? Hatuko salama kabisa
Baada ya kupoteza mvuto wanaanza kufosiWanatafuta watu wapya kwa nguvu
Nenda kawashtak kwa bwana masauni mzanzibarBhana leo asubuhi nikiwa napitia jukwaa mbalimbali hapa hapa JF nikapata alert kwamba nimebakiza ku-view post 5 kama guest
Nikachukulia mzaha nikaendelea ku-view post mbalimbali ghafla napata ujumbe siwezi tena ku-view kama guest hivyo nifungue account
Bila hiyana nikafanya hivyo, nimekuwa niki-view kama guest tangu 2017. Leo imenilazimu kufungua account