JamiiForums wametuweza! Nilikuwa natembelea kama 'guest' tangu 2017

JamiiForums wametuweza! Nilikuwa natembelea kama 'guest' tangu 2017

Bhana leo asubuhi nikiwa napitia jukwaa mbalimbali hapa hapa JF nikapata alert kwamba nimebakiza ku-view post 5 kama guest

Nikachukulia mzaha nikaendelea ku-view post mbalimbali ghafla napata ujumbe siwezi tena ku-view kama guest hivyo nifungue account

Bila hiyana nikafanya hivyo, nimekuwa niki-view kama guest tangu 2017. Leo imenilazimu kufungua account
Karibu jamvini mkuu, mimi nilikuwa guest kwa miaka miwili 2009/10 mpaka nilipofungua akaunti Septemba 08, 2011.
 
Bhana leo asubuhi nikiwa napitia jukwaa mbalimbali hapa hapa JF nikapata alert kwamba nimebakiza ku-view post 5 kama guest

Nikachukulia mzaha nikaendelea ku-view post mbalimbali ghafla napata ujumbe siwezi tena ku-view kama guest hivyo nifungue account

Bila hiyana nikafanya hivyo, nimekuwa niki-view kama guest tangu 2017. Leo imenilazimu kufungua account
Yaaani ni kweli Serikali ya CCM imeshindwa kuwamata hao Wahalifu au ni danganya Toto Tu??? Hatuko salama kabisa
 
Ndio alafu utakuta mtu anakulazimisha kuamini anachokiamini yeye wakati wengine sie ni wasomaji tu. Utasikia una akaunt nying sijui nini
 
Safi sana sisi tunasumbuka huku nyie mnatusoma tu. Afu mimi nawashauri pia kama mtu hachangii mada anambiwa sorry hatukuruhusu usome bila kuchangia mada mda wa mwezi mmoja.
 
Bhana leo asubuhi nikiwa napitia jukwaa mbalimbali hapa hapa JF nikapata alert kwamba nimebakiza ku-view post 5 kama guest

Nikachukulia mzaha nikaendelea ku-view post mbalimbali ghafla napata ujumbe siwezi tena ku-view kama guest hivyo nifungue account

Bila hiyana nikafanya hivyo, nimekuwa niki-view kama guest tangu 2017. Leo imenilazimu kufungua account
Nenda kawashtak kwa bwana masauni mzanzibar
 
Back
Top Bottom