JamiiForums wametuweza! Nilikuwa natembelea kama 'guest' tangu 2017

JamiiForums wametuweza! Nilikuwa natembelea kama 'guest' tangu 2017

Bhana leo asubuhi nikiwa napitia jukwaa mbalimbali hapa hapa JF nikapata alert kwamba nimebakiza ku-view post 5 kama guest

Nikachukulia mzaha nikaendelea ku-view post mbalimbali ghafla napata ujumbe siwezi tena ku-view kama guest hivyo nifungue account

Bila hiyana nikafanya hivyo, nimekuwa niki-view kama guest tangu 2017. Leo imenilazimu kufungua account
Karibu Sana jamvini
 
Mimi hakinishangazi mtu kufungiwa kwa sababu hajawa registered kinanishangaza mimi ni mtu unaweza vipi kuingia Jamiiforums kufungua na kusoma mada mbalimbali for more than 5 years then unakosa hata hamu ya kujibu au ku-share chochote kuhusiana na mada unazozisoma?
 
Bhana leo asubuhi nikiwa napitia jukwaa mbalimbali hapa hapa JF nikapata alert kwamba nimebakiza ku-view post 5 kama guest

Nikachukulia mzaha nikaendelea ku-view post mbalimbali ghafla napata ujumbe siwezi tena ku-view kama guest hivyo nifungue account

Bila hiyana nikafanya hivyo, nimekuwa niki-view kama guest tangu 2017. Leo imenilazimu kufungua account
tupo wengi kumbe 😄
 
K
Mie account ilijiblock toka 2014 nikawa na zoom tu kishikaji jana nikaona hiyo msg, hamna budi imebidi nifungue nyingine kwani jf ndio mtandao wangu pendwa.
Mpaka hapa nilipofikia sidhani kama kutakuja kuwa na platform nzuri kuzidi hii hapa Tanzania, maana niliona platform kadhaa zikawa hazielewekiii 😂😂😂😊

Sema mkuu Maxence Melo anajua maana hii platform si mcheeeeezoo kwa kweli maana siku hizi naona fb kama haina maana kabisaaaaa...🚮🚮😂😂
 
Back
Top Bottom