Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Mimi hili limenikumba wadau😭Karibu mwenyeji,
kila mtu ana starehe yake, ila wewe inaonekana unapenda sana kupiga chabo 👀, bahati mbaya Active amekunasa na umekiri kuwa ni mchunguliaji maarufu.
Mimi kwa miaka mingi toka 2008 nilikua naperuzi TU mpaka 2016 ndio nilijiunga rasmi.Hv mnawezaje kutumia jf bila kuwa member, watu km akina Mwashabwa wanaongea ujinga usiweze kuwajibu...
Hata mimi Nimeview as a guest since 2009 leo Ndio nime-join.😀😀😀 na mm pia mkuu leo kimenilamba, nmeview as a guest since 2011.
Hata mimi Nimeview as a guest since 2009 leo Ndio nime-join.
Mnatisha!😀😀😀 na mm pia mkuu leo kimenilamba, nmeview as a guest since 2011.
Ulitupia ma picha kwenye Uzi wa warembo Jana kwa bahati mbaya nikaufungua nakaanza kuona vyuma after vyuma😊😊Karibu Sana.
😂😂😂😂Nilikuwa nikisoma hizi comment nafurahi sana,, leo na mimi nimepata fursa ya kujibuKaribuni kwa matajiri wa JF humu kila mtu ana gari la ulaya la kutanua na moja la japan la kuendea sokoni, kila mwanamke ni mrembo na kila mwanaume anapiga goal tano na kuendelea.
Hivi ukifa au mambo yako yakifa utasema umelogwa? Utajiitaje mtu mfu?Hata Mimi zaidi ya miaka kumi nilikuwa sio mwanachama Leo imenilazinu kujisajili
Uko single?😀😀😀 na mm pia mkuu leo kimenilamba, nmeview as a guest since 2011.