JamiiForums wametuweza! Nilikuwa natembelea kama 'guest' tangu 2017

JamiiForums wametuweza! Nilikuwa natembelea kama 'guest' tangu 2017

Mimi kwa miaka mingi toka 2008 nilikua naperuzi TU mpaka 2016 ndio nilijiunga rasmi.

Nilijiunga Kama msomaji Tena kipindi hicho utawala wa JPM ๐Ÿ˜Š nilianza kuchangia Sana 2018

Jf ni Kama bunge Jf ni Kama nyumbani Jf ni PAZURI Sana ndio maana mwingine hawezi kukaa wiki mzima bila kuchangia
Uko sahihi mkuu
 
Bhana leo asubuhi nikiwa napitia jukwaa mbalimbali hapa hapa JF nikapata alert kwamba nimebakiza ku-view post 5 kama guest

Nikachukulia mzaha nikaendelea ku-view post mbalimbali ghafla napata ujumbe siwezi tena ku-view kama guest hivyo nifungue account

Bila hiyana nikafanya hivyo, nimekuwa niki-view kama guest tangu 2017. Leo imenilazimu kufungua account
Mie account ilijiblock toka 2014 nikawa na zoom tu kishikaji jana nikaona hiyo msg, hamna budi imebidi nifungue nyingine kwani jf ndio mtandao wangu pendwa.
 
Bhana leo asubuhi nikiwa napitia jukwaa mbalimbali hapa hapa JF nikapata alert kwamba nimebakiza ku-view post 5 kama guest

Nikachukulia mzaha nikaendelea ku-view post mbalimbali ghafla napata ujumbe siwezi tena ku-view kama guest hivyo nifungue account

Bila hiyana nikafanya hivyo, nimekuwa niki-view kama guest tangu 2017. Leo imenilazimu kufungua account
Mimi pia tangu 2007
 
Back
Top Bottom