Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What 🤣🤣🤣 sijavurugwa ila nipo hapa nawazoom tu na hizi mbwembwe zenu 😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo baba tamuuu amevurugwaa, na mie kuna jamaa namsikiliziaa nambwaga huko, mbna atakua chizii mwaka huu.
"Apataye mke apata kitu chema; Naye ajipatia kibali kwa Bwana."
MITHALI 18:22.
Wapendwa nilitaka nipotee kimya kimya, ila kwa namna hii ID yangu ilikaribishwa kwa upendo na kwa upendo nilionao kwa marafiki na ndugu zangu zangu niliojipatia hapa JF nimeona sio ubinadamu nikaitelekeza hii ID bila kuwaaga halafu niwaache wapendwa wangu wakijiukiza Clepatina kapatwa na nini mbona kapotea jukwaani.
Wapendwa, Mungu akitoa kibali November ninaolewa na mchumba niliyempatia hapa JF.[emoji1787][emoji3590].
Huyu jamaa hajanikuta single. Alinikuta nikiwa kwenye uhusiano na jamaa ambae hata hapa jukwaani nishawahi kumtaja kama Mgweno.
Kwa huyu mgweno ndiko moyo wangu uliko. Nilimpenda sio kwa moyo wangu wote bali kwa vyote vilivyotumika kuniumba. Nilimpenda sana huyu mwanaume kiasi cha kuwaona wanaume wengine wote walionitongoza kama wachumba tu[emoji1787].
Baadae nikagundua ninampenda Mgweno zaidi ya anavyonipenda na nikawa mtu wa kulalamika kila siku.
Hata hivyo Mgweno ndio aliyesababisha huyu shemeji yenu mpya atangaze ndoa fasta fasta.
Ni hivi,wakati nakutana na Mgweno nilikua na stress sanaa kiasi kwamba nilikua naonekana kama nina mara mbili ya umri wangu. Nilikua nimechoka sana. Nilikua kibibi[emoji1787] lakini mahaba na faraja alizonipa Mgweno zikarudisha peace of mind na stress zikaisha na Clepatina nikawa pisi kali tena[emoji1787].
Amini usiamini, mwanamke akipendwa na mwanaume anayempenda uzuri wake unarudi[emoji1787]. Ndio maana mtu ukiwa single hufatwi ila ukipata tu wa kukupenda utashangaa kila mwanaume anakutaka[emoji1787].
Sasa baada ya kuona Mgweno haeleweki/kabadilika nikapambania penzi haijasaidia, ndio kajitokeza huyu shemeji yenu mpya na japo hatuna muda mrefu na siwezi kusema namjua vizuri ila nafsini mwangu nahisi amani juu yake.
Kwa hatua alizochukua na gharama alizoingia juu yangu nina imani yuko serious katika kutaka kunioa.
Yeye na familia yake yote ni walokole kama mimi na ninajihisi salama kuwa mikononi mwa mwanaume amchae Mungu.
Ndugu zangu, mwanaume Mcha Mungu, msomi, mwenye ofisi zake kubwa kubwa, handsome, mpole ila mkali kwenye upuuzi, asiyependa wanawake wengi na mwenye mapenzi kama kapewa limbwata, hatoki kokote zaidi ya Mbinguni kwa baba Mungu, Mungu wa ishara na miujiza. Mgweno anisamehe ila naamini huyu ndie niliumbwa toka ubavuni mwake[emoji3590].
Hii itakua ni post yangu ya mwisho hapa. Kwa sasa najikita zaidi kusoma biblia kama alivyoniomba mume wangu mtarajiwa na pia kutumia free time yangu kujifunza kupika. Sijui kupika ndugu zangu[emoji24] na shemu wenu kasema kutojua kwangu kupika ni tatizo na mpaka siku ananioa niwe nimeshajua kupika.
Najua ndoa zina changamoto, najua mume wangu mtarajiwa atakuwa na madhaifu yake, najua kuna siku za kulia na siku za kucheka najua kuna siku tutapata na kuna siku tutakosa najua kuna mengi mazuri na mabaya yatajitokeza ila hata itokee nini kamwe sitafanya yafuatayo;
1) Sitamcheat hata akipoteza dushe yake.
2) Sitamdharau hata akikosa uwezo wa kunipa jero.
3) Kamwe sitajiona nina akili kumshinda.
4) Kamwe sitapaza sauti yangu ninapoongea nae.
5) Kamwe sitonyanyasa watoto wake ambao mama yao amefariki, kwani tayari nawapenda na wao wananipenda kama nimewazaa mimi.
Kwa mnaonipenda naombeni mniage kwa neno zuri la ushauri.
Joannah Half american Gily
I CAME, I SAW, I CONQUERED.
Uduguu hapanaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo ndugu zake hawanipendii, ko na mie namuachaaaa
Sitaki visa vya reja reja ukweniiiiii.
Woiiiiiiih
Sawa mkuu maana inavyotamkwa kama mtu mwenye mafua makali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] "ndugu"
Ila inatumika kwa marafiki, mashost, etc
We do white gold and diamond nowdays.Kweli we mlokole, hiyo Pete Kama ya silver, watoto wa siku hizi mnafeli wapi, mi dada yako hiyo Pete sijaikubali, kitu za dhahabu hata akikuacha unaenda sonara unauza unapata Cha kuanzia kuuza genge.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu relaaaaaaxxxxx.What [emoji1787][emoji1787][emoji1787] sijavurugwa ila nipo hapa nawazoom tu na hizi mbwembwe zenu [emoji23][emoji23][emoji23]
Ni pasua kichwa huyo achana na yeye 🤣🤣Clepatina
this guy IamBrianLeeSnr sitaki kumsemehea but just logic. He doesn't have girls here if he could openly show his love for you publicly. He doesn't care what he is losing rather than losing you. He is hurting 😢 💔 and with broken heart.
He is laughing outside but crying inside💔
Love is beautiful thing, what is sad is not you saying no. It's just you didn't give him a chance❤️ and say no when you get to know him.View attachment 2643476
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu sikuweziiii khaaaah.Basi awaoe ndugu zake [emoji23][emoji23][emoji23]
[mention]IamBrianLeeSnr [/mention] bro umeanza lini kupangiwa wa kumkaza
Mambo ya waja utayaweza bas?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sawa mkuu maana inavyotamkwa kama mtu mwenye mafua makali
Sawa mkuu maana inavyotamkwa kama mtu mwenye mafua makali
Mapenzi bhana😂😂, soon naleta Uzi wangu wa kuwa single again😂😂 Darlin. Nitasema yotee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wifi anaendeleaje lakini
Analeta lini thread ya kutangaza ndoa[emoji23][emoji23][emoji23]
Niko na google translator yangu hapa maana kwa kuandika kiarabu siwawezi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliiii.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] emu tuwache
Huu ndio uhalisia mkuu hta Mimi binafsi sina shaka na huyu ndgu kujianzishia uzi anajitia tu vidole mku ndu ni halafu ananusa mwenyewe. Ni ujingaKuna mawili.
Wewe ni ID ya kike ila Muhusika wa ID ni yule alokuanzishia Uzi ( Me ).
Nakam wee kweli ni Ke, basi Kabla ya mwezi huo wa November mtakua mmeshaachana kitambooooo sanaaa Kwa sababu Mubusika atakua keshaichapa Mbususu yako.!!.
Maneno haya, yapige screenshot, kayaprint, uyafiche chini ya godoro !!.
November tukutane !!!
At least dedicate a song to her man. You listen to me..Ni pasua kichwa huyo achana na yeye 🤣🤣
[emoji3][emoji3][emoji1] umenikmbsha za kimasiara ndo zinakuwaga ivo mara paap nakula kimasiara cute wife....hii inaitwa kuokota dodo kwenye mkomamanga)Zipigwe za kimasihara au sio?! [emoji23][emoji23]
Haita saidia kaka...Demu bado hajakua kabisa na anautoto mwingi hiyo ndoa itakua na patashika nyingi sana...At least dedicate a song to her man. You listen to me..
Duuuuh ila waja jaman [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huu ndio uhalisia mkuu hta Mimi binafsi sina shaka na huyu ndgu kujianzishia uzi anajitia tu vidole mku ndu ni halafu ananusa mwenyewe. Ni ujinga
Madam, leo naomba nikuekeze kidogo. Ukitaka ku-tag mtu, anza na @ kisha ID yake.Basi awaoe ndugu zake [emoji23][emoji23][emoji23]
[mention]IamBrianLeeSnr [/mention] bro umeanza lini kupangiwa wa kumkaza
[emoji3][emoji3][emoji1] umenikmbsha za kimasiara ndo zinakuwaga ivo mara paap nakula kimasiara cute wife....hii inaitwa kuokota dodo kwenye mkomamanga)
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app