Vitaimana
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 3,535
- 1,562
Kamuulize Roma mkatoliki!Hivi kale kabinti kalikokuwa kametoboa pua kalienda wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamuulize Roma mkatoliki!Hivi kale kabinti kalikokuwa kametoboa pua kalienda wapi?
Sio 6+6 kweli?Clouds Radio yupo mmoja ana Duka la Nguo japo haonyeshi ila naye ni Hao hao
Mark my words. " UTAKUJA KUAMINI NILICHOKIZUNGUMZA NA SIKU HIYO HUTAAMINI"Aaaaah sasa huko mbali jamani tuonaongea kwa wivu sasa
Dah Mungu atulinde na vizazi vyetu vijavyo maana hali ngumu sasaMark my words. " UTAKUJA KUAMINI NILICHOKIZUNGUMZA NA SIKU HIYO HUTAAMINI"
Kuna shirila linaitwa TAYOA lipo bahari beach hawa ndio wahasishaji wakuu wa hii biashara.... Laiti ungewahi kujua yanayoendelea ungeandamana....Dah Mungu atulinde na vizazi vyetu vijavyo maana hali ngumu sasa
DAH Mimi nimeduwa sina la kusema Kapiga? ¿¿¿¿¿ Hili kundi lishakuwa kubwa pia ni ngumu kupambana naloKuna shirila linaitwa TAYOA lipo bahari beach hawa ndio wahasishaji wakuu wa hii biashara.... Laiti ungewahi kujua yanayoendelea ungeandamana....
ujinga mzigo.Gasho anajulikana kwa kumuangalia ila kwa HK na B12 ni kuchafuana tu,hivi HK na B12 wanafanana na Kaoge?
Brooo ndo hilo au?Kuna shirila linaitwa TAYOA lipo bahari beach hawa ndio wahasishaji wakuu wa hii biashara.... Laiti ungewahi kujua yanayoendelea ungeandamana....
Hawa sio kama wanapenda vitendo ila donge nono ( kama kawaida ya wabongo kupenda misaada ) kwa sasa ukiwa na ng'os yako inashabikia hiyo biashara haramu utamiminiwa pesa mpaka unikie pesaKuna shirila linaitwa TAYOA lipo bahari beach hawa ndio wahasishaji wakuu wa hii biashara.... Laiti ungewahi kujua yanayoendelea ungeandamana....
Kwa kosa ganiTutamuondoa na Makonda DAR
[emoji15] ndo aliyempa mimbaKamuulize Roma mkatoliki!
Mmmmmmm jamaniHarris Kapinga jamaa ukimsikiliza huwez amin kama ni gasho.... Kumbe ni bonge la gasho
Mkubwa unatumbuaje jipu calliber yA lugumi bila ganzi [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Clouds Radio yupo mmoja ana Duka la Nguo japo haonyeshi ila naye ni Hao hao
Naweza nisiwe sahihi..
Juzi kati hapa nikiwa napitia nyuzi kwenye Jukwaa hili la Celebrities ambalo ni mahsusi kwa ajili ya habari za watu maarufu, nilikutana na uzi huu - Huyu mtangazaji kipindi cha Nirvana jamani? ambao ni wa mwezi May mwaka huu (mjadala ulioendelezwa hadi mwezi Juni/Julai 2016).
Ndani ya huo mjadala, wachangiaji walifunguka vya kutosha namna wanavyomuona mtangazaji huyu mwenye manjonjo na wengi walionesha kumtilia shaka 'usalama wake'..
Pengine, narudia pengine, uzi huo ulimfikia mlengwa na kum-frustrate sana kwani siku chache zijazo zikaja taarifa za ghafla kwamba jamaa ameamua 'kustaafu' kufanya kipindi hicho na leo (Jumanne Julai 19, 2016) anafanya show ya kuagwa na kumtambulisha mtangazaji mpya..
Kama niwazacho ni sahihi, basi ni sahihi kusema JamiiForums imemtumbua huyu jamaa wa Fashoooooon!
Kwa wasiomfahamu Deogratious Kithama (mkali wa fashoooon);
View attachment 367730
Moja ya kazi zake za hivi karibuni;
#Ndukiiiii
ELTON JOHN anafadhili boooooonge la mradi lipo makumbusho!Hawa sio kama wanapenda vitendo ila donge nono ( kama kawaida ya wabongo kupenda misaada ) kwa sasa ukiwa na ng'os yako inashabikia hiyo biashara haramu utamiminiwa pesa mpaka unikie pesa
Kuna mtu alishanifata akanieleza tuanzishe ng'os ya ushoga zinalipa mnoo na wafadhili wapo wengi tena mabilionea huko duniani
Ila sababu Mungu kakataza nikasema hapana