JamiiForums yamtumbua mtangazaji wa Nirvana (EATV), alazimika kuacha kazi ghafla..

JamiiForums yamtumbua mtangazaji wa Nirvana (EATV), alazimika kuacha kazi ghafla..

Kuna shirila linaitwa TAYOA lipo bahari beach hawa ndio wahasishaji wakuu wa hii biashara.... Laiti ungewahi kujua yanayoendelea ungeandamana....
DAH Mimi nimeduwa sina la kusema Kapiga? ¿¿¿¿¿ Hili kundi lishakuwa kubwa pia ni ngumu kupambana nalo
 
Kuna shirila linaitwa TAYOA lipo bahari beach hawa ndio wahasishaji wakuu wa hii biashara.... Laiti ungewahi kujua yanayoendelea ungeandamana....
Brooo ndo hilo au?
 

Attachments

  • 1469031268326.jpg
    1469031268326.jpg
    14.2 KB · Views: 102
Kuna shirila linaitwa TAYOA lipo bahari beach hawa ndio wahasishaji wakuu wa hii biashara.... Laiti ungewahi kujua yanayoendelea ungeandamana....
Hawa sio kama wanapenda vitendo ila donge nono ( kama kawaida ya wabongo kupenda misaada ) kwa sasa ukiwa na ng'os yako inashabikia hiyo biashara haramu utamiminiwa pesa mpaka unikie pesa
Kuna mtu alishanifata akanieleza tuanzishe ng'os ya ushoga zinalipa mnoo na wafadhili wapo wengi tena mabilionea huko duniani
Ila sababu Mungu kakataza nikasema hapana
 
Duuuuuh sitaki kuamini!
Deo anaacha kazi jamani?
[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
Namkubali sana...I'll gonna miss him!
 
Naweza nisiwe sahihi..

Juzi kati hapa nikiwa napitia nyuzi kwenye Jukwaa hili la Celebrities ambalo ni mahsusi kwa ajili ya habari za watu maarufu, nilikutana na uzi huu - Huyu mtangazaji kipindi cha Nirvana jamani? ambao ni wa mwezi May mwaka huu (mjadala ulioendelezwa hadi mwezi Juni/Julai 2016).

Ndani ya huo mjadala, wachangiaji walifunguka vya kutosha namna wanavyomuona mtangazaji huyu mwenye manjonjo na wengi walionesha kumtilia shaka 'usalama wake'..

Pengine, narudia pengine, uzi huo ulimfikia mlengwa na kum-frustrate sana kwani siku chache zijazo zikaja taarifa za ghafla kwamba jamaa ameamua 'kustaafu' kufanya kipindi hicho na leo (Jumanne Julai 19, 2016) anafanya show ya kuagwa na kumtambulisha mtangazaji mpya..

Kama niwazacho ni sahihi, basi ni sahihi kusema JamiiForums imemtumbua huyu jamaa wa Fashoooooon!

Kwa wasiomfahamu Deogratious Kithama (mkali wa fashoooon);
View attachment 367730

Moja ya kazi zake za hivi karibuni;


#Ndukiiiii

anaelekea clouds tv au kwny tv mpya inayomilikwa na majizo itafunguliwa soon
 
Hawa sio kama wanapenda vitendo ila donge nono ( kama kawaida ya wabongo kupenda misaada ) kwa sasa ukiwa na ng'os yako inashabikia hiyo biashara haramu utamiminiwa pesa mpaka unikie pesa
Kuna mtu alishanifata akanieleza tuanzishe ng'os ya ushoga zinalipa mnoo na wafadhili wapo wengi tena mabilionea huko duniani
Ila sababu Mungu kakataza nikasema hapana
ELTON JOHN anafadhili boooooonge la mradi lipo makumbusho!
 
Back
Top Bottom