Jamvi la wanawake: Wewe raundi ngapi akienda zinaanza kuwa kero?

Jamvi la wanawake: Wewe raundi ngapi akienda zinaanza kuwa kero?

Hakakati hamu yote, jiulize kwanini condom wameweka tatu? Kwanini wasingewekq moja au kumi? Wanajua uwezo wa watu walio wengi ni mabao matatu.
Itakuwa zilitengenezwa na wanaume, kibiashara zaidi. Kamoja kanatosha jamani.
 
Itakuwa zilitengenezwa na wanaume, kibiashara zaidi. Kamoja kanatosha jamani.

giphy.gif
 
Siyo kwamba tuko hivyo.
Tulio wengi hatupigi match za ugenini hivyo kitu inakuwa ya ujazo mwingi na hiki upelekea first round kukamilika within seconds lkn tukivumiliwa second and 3rd rounds huwa za matendo mema na ya baraka sana kwani ujazo unakuwa umepungua kwa kiasi.

Na hako ka kwanza ukibahatika kuona kiasi kilichotolewa kwana ni kikubwa,nzito na inakuwa na rangi ya dhahabu lkn zaidi huwa kanang'aa na kumeremeta pia na halufu inayovuta wadudu watambaao kuja kukazunguka kama itatokea kamemwagika sakafuni. Uje uchunguze.
Kwa maelezo haya nakutunuku uenyekiti wa wapiga chafya sema vina raha yake havichakazi chiu
 
Back
Top Bottom