Jana ilikuwa bado kidogo tu nirudie kunywa Pombe

Jana ilikuwa bado kidogo tu nirudie kunywa Pombe

Hana kipato? Hana kazi?...Bora aache tu pombe coz atakutana na mambo ya ajabu huko!

Yaan mambo ya kununuliwa pombe mtu anakushika shika au kukwambia sijui mambo ya sex aaaagh kinyaa!

Kama mdada huna kazi asee usijitumbukize huko

Sent using Jamii Forums mobile app
Itachukua miaka mingi kuelewa,,

Wapenda ofa wanakuona hahahah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hana kipato? Hana kazi?...Bora aache tu pombe coz atakutana na mambo ya ajabu huko!

Yaan mambo ya kununuliwa pombe mtu anakushika shika au kukwambia sijui mambo ya sex aaaagh kinyaa!

Kama mdada huna kazi asee usijitumbukize huko

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea point kabisa juzi kati nipo club kadada kanataka kucheza na mm afu kananinong'oneza naomba K Vant Mbaya hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yale maeneo noma!

Hata mtu akikuona maeneo yale anahisi unazo[emoji134]

Sent using Jamii Forums mobile app

Niliwahi kuwa na mtoto mmoja wa Kishua, yeye tulikuwa tunakubaliana, nilipe room yeye atacover misosi na vinywaji.

Na anataka twende kule atleat mara moja kila miezi miwili, dah aisee.

Magu kaharibu nchi sana, màana toka Mzee wake akose uwaziri jeuri ilikwisha.
 
Niliwahi kuwa na mtoto mmoja wa Kishua, yeye tulikuwa tunakubaliana, nilipe room yeye atacover misosi na vinywaji.

Na anataka twende kule atleat mara moja kila miezi miwili, dah aisee.

Magu kaharibu nchi sana, màana toka Mzee wake akose uwaziri jeuri ilikwisha.
[emoji16][emoji16][emoji1787]...Bata la pale sio la mchezo!

Sister angu anaendaga pale kuzuga tuu hata soda hanunui, ila anachukua clips na mipicha kama Mimi tu ...kipindi cha mkwere kulikuwa sebuleni kwake pale!

We acha tu stone kayatinganya!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom