CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
- Thread starter
-
- #41
Na kwa alie soma Law halafu yuko benki?kwa mtu wa IT kuchoma mahindi ni kuonesha kuwa alichosoma hakikumsaidia hata hiyo kazi akiiipata hawezi fanya. IT means being creative kuna mambo mengi sana yanahitaji ufumbuzi wa IT.....
Mkuu, huyo pichani ndio shemeji?Nashangaa! Labda kaona kwenye mahind mtaji utakuwa fasta.
Acheni utani na mtaji nyie, umtoka Kijiji wazazi wameungaunga mpaka umetoboa chuo.IT ameshindwa kujiongeza hata akaanza kutengeneza simu?
Na kwa alie soma Law halafu yuko benki?
Alisoma Soil sayansi na anafanya kazi ya Kuwahudumia wateja?
Jamaa anakusanya mtaji wake.
Najua shida ni yeye kuchoma.mahindi.
Shida ni mahindi ningesema amefungua salooni najua watu wasinge ponda.
Ningesema analima watu wangeelewa kisa ni mahindi kuchoma?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu waache watu waponde humu. waaache waendelee kuamini kwamna anajidharirisha.Nina diploma. Baada ya mambo kuwa sio sawa mtaani nikapata laki 2 nikatafuta sehemu zuri nikaweka kibanda nauza pipi, sigara, na vingine ambapo pipi za 1700 nauza 2500 kwa siku 3. Sigara pakiti nauza kwa siku 2 kama kuna soko mpaka siku 4. Faida wastani kidogo sana vocha za 10,000 faida 500. Kwa sasahivi wife anauza Mimi nikatafuta issue nyingine. siku za soko watu wamezoea mauzo mpaka 50,000. Na maisha yanasonge vizuri sana. Nasomesha medium. Huyo jamaa anaeuza mahindi atakuja kuwa Tajiri. Eti anauza mahindi baadae atafute issue nyingine, watu tuheshimu cha wakati huo ukiboresha kitakuwa somo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Humu nadili na watu wenye mawazo mfu.Kweli kabisa lazima umhurumie mtu km huyu kuchoma mahindi kaanzia mbali sana alitakiwa adeal na mambo aliyosomea hivyo ni km ana evaporate matirio yake kichwani
Mawazo ya kimasikini kutoka kwa watu wenye mentality za kimasikiniveery good qoute
Wewe ndo unaye sema sio yeye, Je angekuwa anauza magari vipi ingekuwa ni siku ziende?Sio kwamba anaipenda hiyo kazi... anaifanya tu ili tu siku zisonge
Ndio mfanyia watu kazi wewe hapo unalipwa na mtu mmoja. Unalipwa na mtu mmoja.Umefurahi??
Ndugu wewe, It zenyewe hizi Za kusoma sababu washkaji wako kitaani nao wanasoma Hiyo... !!!IT ameshindwa kujiongeza hata akaanza kutengeneza simu?
Vipi angekuwa nafanya kazi Kwenye hotel pia ungeshangaa?Nashangaa! Labda kaona kwenye mahind mtaji utakuwa fasta.
Mkuu wa bongo tunashida sana aisee, mbaya zaidi huwa hatuangalii muda tunaopoteza kila siku kuhaika na mibahasha tuu, mtu anakaa home zaidi ya miaka mitano nyumbani kila siku anapiga mizinga tu home hajishughulishi na chochote na siku zinaenda akija kustuka hivi muda umemuacha, me naamini jamaa anatengeneza historia tu, mambo yatakuwa mazuri tu ,aendelee kufanya kazi zake kwa bidii tu mungu yuko pamoja naeJamaa anatengeneza story yake ya mafanikoa watu wanaponda.
Ni mara 100 wanaona akae nyumbani hata miaka 5 bika kazi ila si afanye anacho fanya.
Mentatilty za Kibongo hizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha ujinga basi, yeye anajua anacho fanya sawa? wewe una nini? anaye kulipa akifa ndo mwisho wa ujanja wako.Huyo sio IT lover kasoma hiyo fani kwa kufuata mkumbo, mbona kuna mambo mengi ya kufanya na kukuingizia Pesa through IT
Mkuu mentality za wasomi unazijua kweli?For your information namfahamu tajiri mmoja mwenye maghorofa (sio moja) hapa Arusha ambaye alianza kuuza karanga, akawa machinga, akapanuka akafungua kaduka ka nguo, na sasa ni tajiri. Tena Mungu anaweza kumwinua huyo mchoma mahindi akapata mteja wa kumpa connection ya biashara ingine na baada ya mwaka ukamkuta yuko matawi ya juu. Usichague kazi mradi ni kazi halali kisheria
Ugali pot, maziwa friji hawawez jua hali ya maisha ndomana wana wana andika ....&$$__$$((_$$$$@Acheni utani na mtaji nyie, umtoka Kijiji wazazi wameungaunga mpaka umetoboa chuo.
Umemaliza huna mbele wala nyuma ukirudi Kijiji wazazi ndiyo wanakuangalia na kukutegemea wewe.
So inabidi ujibanze town kwa washikaji unapiga mizinga mpaka unachokwa kila kona, kutuma CV iwe hard/soft copy ni hela, hakuna anayekujua mjini.
Kupata kazi ni kujuana/ ushikwe mkono otherwise hamna kitu.
Kuna kazi nyingine mtu anayekushika mkono tu anakuwa kama referee wako incase of anything.
Kama hujawahi kuchezacheza na simu asikudanganye mtu from the fist time ukitupiwa simu hiyo mbovu huwezi tengeneza kitu zaidi ya kuwa tapeli kama wale kule mitaa ya aggrey