CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
- Thread starter
-
- #101
Wewe ulio yasoma yote kuanzia Shule ya.msingi una ya upply?.Kila kitu afanyacho mtu anakuwa na sababu au malengo ila kwa huyo IT hapo ndio analaza alichosoma maana muda mwingi atakuwa huko......
Tuwe wakweli na sio kusifia kila kitu, IT ni very practical usipoipractise inakuacha
Huyo mtu alishidwa na ili kupata public sympathy akaamua afanye hicho afanyacho sasa
Mkuu mimi still nina maongezi naye na kuna kitu nashauriana naye ipo siku watu watabakia.midomo wazinaona kwa sasa nyumbani Tanzania ni ajabu graduates kujishughulisha na shughuli ambzo either zsizo rasmi ama tofauti na kile alicho somea chuoni dunia ya leo mambo yamebadilika sana wenye kufikia lengo la kutumia elimu yao ku create a business inayo husiana na cert,diploma,degree yake ni ngumu kutokana mindset capital na mazingira magumu ya kuifanyia kazi mtayaona mengi kwa sababu life halipo fair sishangah kuona makondakta, mama ntilie, bodaboda, dereva tax,na madereva wa magar mengine , wachuuzi wa bidhaa ndogondog wakishiriki vyote hivi kujipatia riziki sasa kesho mtamwona anauza karanga mbio jamii forum kweli ....
Mind set afikiri kufanyaje?.Usha wahi some histori za makumbuni makubwa yalivyo anza?
Hayo mahindi hujui anawez siku moja kupack na ku export?.
Mind set gani wak wewe hapo uko kazin kwa watu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe lakini si umejairiwa? Yeye na wewe nani mjanja? Yeye masaa yote 24 anayatumia.mwenyewe.Hahhahahahah....we jamaa huyo mchizi kakudanganya,IT hadi uuze mahindi ya kuchoma mchezo,kama kweli hana akili ya kujiongeza!....unashindwa hata kutengeneza simu,au ukafungua kaframe uwe unadesign card
IT ameshindwa kujiongeza hata akaanza kutengeneza simu?
Huwezi nielewa milele na DaimaWewe jamaa unatundanganya
Muuza mahindi akijitahidi sana anaanza kazi saa 6 mchana, na wengi mwisho wao ni saa 2 jioni hapo masaa aliyotumia ni masaa 8 pekee.
Akifika aanze kuandaa jiko lake, kuandaa mahindi kuanza choma ishafika saa 7,
Jiko lake linachoma mahindi 10 kwa wakati mmoja na mahindi kusema kuwa kahudumia watu 400 kwa siku unatupeleka chaka kabisa ndugu. akijitahidi sana kwa siku ni watu 50-80.
Hakuna mtu anaefanya kazi masaa 24 dunia hii
Kubali unatupiga fix
wapo wengi zaidi ya huyo kama utamshika mkono kila la kheri ...Mkuu mimi still nina maongezi naye na kuna kitu nashauriana naye ipo siku watu watabakia.midomo wazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanao ponda hapa wanalipwa laki 5 na madeni kibao ndo wanao ponda.Kuna siku MTU alinipigia mahesabu pesa wanayopata wauza mahindi kwa siku.Kwanza ukianza na mhindi mmoja mmoja anavyojumua mkaa anaotumia na faida.Aiseee wakitulia wanapata faida kubwa sana.Yupo sahihi.Na atafika mbali.Huruma tuwaonee ambao mpaka Leo watamsubilia Angela Kairuki amalize ukaguzi wa vyeti ambao hauna End .Viva Mchoma mahindi MPE salamu zangu na hata kamtaji kidogo naweza muongezea akuze mtaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ulio yasoma yote kuanzia Shule ya.msingi una ya upply?.
Angejuwa anauza Magari msingeongea najua fika.
Kuongea ni kwa sababu anachoma.mahindi ila ningesema anauza Magari kimya
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo watampongeza sana kuangalia TV home. yaani watamuona mjanjaKama anatokea nyumbani kwao je?kuna watu mnajua kukatisha watu tamaa kama mnajua.So upo tayari ashinde home kutizama TV na si kuchakarika??huyo keshaanza hatua.Baki mkimsubiri Anjela Kairuki
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo maana yangu.Sidhani kama mtoa mada amefurahia graduate kuchoma mahindi. Alichotaka kutueleza ni kwamba tusione aibu kufanya kazi au biashara ndogo ambayo baadae itakuza mtaji kufanya kitu ukipendacho.
Graduates wengi wapo mtaani wanasubiri ajira na mitaji. Bila uthubutu kama huyo mchoma mahindi watasubiri sana. Maisha ni magumu.
Mentality za kimasikini mno. Endelee kushangaa kuna siku utaenda kuomba kazi kwake wewe au ndugu yako au watoto wako. Endelea kushangaaKwanza kabisa mie nimecheka sana kwa mleta post kumsifia huyo Graduate kwa kuchoma mahindi, baada ya kusoma nikaona eti kasoma IT, hapo ndio nikazidi kushangaa, bora angekuwa amesoma mambo ya kilimo na biashara anagalau tungesema anafanya research ili aje na bonge la project
Mie nashangaa kwa nini kama unasema lengo ni kuanzia chini, basi asianze hata na kakibanda ka kurekebisha software katika simu, kuistall apps mbali mbali, kutengeneza laptops, Computer nk, yaani kuna watu ni darasa la saba wanapiga hela kwa kujifany amafundi simu na simu zetu zinapona tukiwapelekea, sasa huyo IT wa degree hili limemshinda, si angeenda kwa fundi simu akajifanya mjinga akafundishwa utundu wa kutengeneza halafu akaongeza na elimu yake baada ya mwaka huenda atakuwa mbali.
Mie ninachokiona hapo ni kuwa degree zetu ni za vyeti lakini kichwani hamna kitu, mtu aliyesoma IT lazima atakuwa anamiliki laptop, lazim anajuana na watoto wa mjini wanaouza laptop used, fursa zote hizo hajaziona akaenda kuchoma mahindi, this is a shame for real
Wasomi wengi wa kibongo wakimaliza hutaka kuajiriwa kwa kuwa hawana skills, hivyo wanakimbilia kuajiriwa ili wakafundishwe kazi huko maofisini na watu wenye uzoefu lakini wao huja kwenye ajira vichwa tupu, we fuatilia tu, tafuta Mhasibu aliyegraduate mwambie akufungie mahesabu hawezi, tafuta engineer wa umeme aliyegraduate mwambie akakague mradi wa umeme wa TANESCO utaona madudu tu, hao ndio wasomi wa bongo
Sasa badala ya kusifiana ujinga tuambiane ukweli kuna haja gani ya kumaliza zaidi ya Tsh 10 MIL kwa miaka mitatu aliyotumia kusoma IT halafu anakuja kuchoma mahindi, hiyo 10 mIL si angeanza biashara ya kuuza mahindi jumla na reja reja mapema tu akaachana na huko alikoenda kusoma halafu hawezi hata kutengeneza simu.
THIS IS A SHAME FOR OUR COUNTRY
Wewe lakini si umejairiwa? Yeye na wewe nani mjanja? Yeye masaa yote 24 anayatumia.mwenyewe.
Hafanyi kazi kwa mtu, Anafanya yake mwenyewe na malengo yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ulio yasoma yote kuanzia Shule ya.msingi una ya upply?.
Angejuwa anauza Magari msingeongea najua fika.
Kuongea ni kwa sababu anachoma.mahindi ila ningesema anauza Magari kimya
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua.lengo langu? Fuatilia.post zangu za nyuma utaelwa maana yangu.Unajua mabo mengine tuwe tunajenga hoja za kueleweka, wewe pia ungemkuta anauza magari usingepost humu, umepost kwa sababu anachofanya hakiendani na akili na uelewa wa watu wengi, ndio maana na wewe ukaona hicho ni kituko.
Kama mtu anauza magari utanshangaa nini wakati magari yasiku hizi mifumo ya umeme na IT imechukua nafasi kubwa, huenda kawa anasaidia katika hilo, biashara ya magari bila e-commerce unaifanyaje, unadhani Beforward, AUTOREC, TRADECARVIEW, ENHANCE AUTO na wauzaji wengine wengi huko Japan hawana wataalamu wa IT,
Sasa wewe tuambie uhusiano wa IT na kuchoma mahindi, sio kuleta hoja za kuchanganya, tunasema si angeanza na kutengeneza simu, hilo limemshinda vipi.
Mentality za kimasikini mno. Endelee kushangaa kuna siku utaenda kuomba kazi kwake wewe au ndugu yako au watoto wako. Endelea kushangaa
Sent using Jamii Forums mobile app