Jana ilikuwa siku ya Furaha kukutana na Graduate anachoma mahindi Barabarani

Jana ilikuwa siku ya Furaha kukutana na Graduate anachoma mahindi Barabarani

Mkuu inaonekana huna idea na biashara.
Yan kuchoma maindi unaweza kukusanya mtaji?????
Na apo ukiwa unajitegemea kila kitu

Mkuu utatafuta mchawi wakati mchawi ni akili zako
Piga kwanza hesabu kwa siku anakusanya faida kiasi gan toa matumiz yake ya kila siku.
Uyo graduator kapote

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mchangiaji kamuambia mleta mada anafurahisha genge !
 
Kijana ana hasira na kila anayemchallenge.


May Allah bless Me and You

Huyu jamaa anajaribu kuwaaminisha watu kuwa huyu kaona fursa wakati hiyo si fursa, hapo kuna uwezekano huyo mwana IT hakuwa vizuri darasani au alifeli au hakuelewa nin anasomea
 
Kuna graduate waliungana na wao waliiona fursa ya garbage collection, walichofanya ni coordination, good service, faithfulness, after sale service and customer care. With ziro capital !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sio kweli. sio lazima uanze na kuflash smart phone.. angeanza na kutengeneza vitoch.. kwa hio laki hawezi kukosa desktop..hata angekuja hapa JF mimi ninngeweza kumpa hio desktop ya kuanzia.. afu badae angejiongeza mwenyewe ila kuchoma mahindi ni kuwa KIAZI
Nmekuelewa mkuu ila sio wote ni watumiaji wa jf, pia ukumbuke huku mtu akija kuomba msaada anaweza akadhaniwa ni tapeli au watu wakamdhihaki maana huku kuna watu wenye akili tofauti
 
Huyu jamaa anajaribu kuwaaminisha watu kuwa huyu kaona fursa wakati hiyo si fursa, hapo kuna uwezekano huyo mwana IT hakuwa vizuri darasani au alifeli au hakuelewa nin anasomea
Usihukumu wala hakuna jambo la kushangaza ,tunaishi ktk mazingira tofauti sana,lile ambalo kwako ni gumu kulitenda kutokana na mazingira uliyokulia kwa mwenzio ni rahisi,yawezekana wewe unaamka ukiwa na uhakika wa milo yote mitatu,mwenzio hana ba wala te,kwa mazingira haya si jambo geni kukuta mtu anaamua kujitafutia rizk kwa njia yoyote halal kabisa. Nakumbuka miaka michache iliyopita east afrika tv walishare picha ya kijana mmoja graduate wa diploma ya accountancy akiokota makopo ya kuuza kukikdhi mahitaji. Lile tukio liliwagusa wengi sana na alipata masaada toka kwa watu mbalimbali Sina hakika na stori ya mleta mada ila siwezi kumbishia kwa mazingira tuliyonayo sasa kila jambo linawezekana
 
Wanaobeza wana kazi zao na wengine ni graduate ambao wanazurula na vyeti hata huo mtaji wa mahindi hawana, wwngine wapo kwa wazazi wakiendelea kutumwa dukani kununua chumvi na mkaa, bado wanaendelea kuchambua mboga aliyoleta mama, kujiongeza hawataki kwani ni waoga, humu wanajifanya kuponda kazi ya mwenzao. Tumpe moyo hatujui kesho atakuwa wapi.

Mi nauza Asali ya mpanda lita sh 8000. Nipo Dar tegeta nyuki. Kwa mawasiliano njoo pm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mentality za kimasikini mno. Endelee kushangaa kuna siku utaenda kuomba kazi kwake wewe au ndugu yako au watoto wako. Endelea kushangaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kwa nini watu wanabeza kuchoma mahindi??au kwa jili MTU upo barabarani anapuliza moto.Tupige mahesabu jamani.Hapa ni pesa kama anapata na ziada na wewe wa ifisini unapata the same shida IPO wapi.After all wote hatuwezi kuwa Ofisini.Na mahindi wengi tunapenda kuyatafuna hence kipato kwao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo graduate anajitegemea mwenyewe kimaisha?
Anauza shilingi ngapi kwa siku?
Matumizi yake kwa siku ni shilingi ngapi?
Anabakia na shilingi ngapi kwa siku baada ya kutoa kiasi cha pesa anacho tumia kwa matumizi ya kawaida?
Kwa akiba hiyo kwa siku atakua na shilingi ngapi kwa wiki?
Je, anamipango mikubawa zaidi inayotegemea hiyo akiba kutoka kwenye mahindi?
Je, ataitekeleza hiyo mipango kweli kwa akiba hiyo?
tumpongeze/tumuonee huruma graduate mwenzetu.
 
Watu hawabezi au kumbeza mhusika, ila watu wanaangalia kozi aliyosomea na hicho anachofanya.... IT is all practical kuna mengi mtu anaweza fanya kwa elimu ya practical
 
Watu hawabezi au kumbeza mhusika, ila watu wanaangalia kozi aliyosomea na hicho anachofanya.... IT is all practical kuna mengi mtu anaweza fanya kwa elimu ya practical
Unajua malengo yake? unajua kilicho kichwani mwake? unajua anataka kufanya nini?

Last coment to you unachosha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaobeza wana kazi zao na wengine ni graduate ambao wanazurula na vyeti hata huo mtaji wa mahindi hawana, wwngine wapo kwa wazazi wakiendelea kutumwa dukani kununua chumvi na mkaa, bado wanaendelea kuchambua mboga aliyoleta mama, kujiongeza hawataki kwani ni waoga, humu wanajifanya kuponda kazi ya mwenzao. Tumpe moyo hatujui kesho atakuwa wapi.

Mi nauza Asali ya mpanda lita sh 8000. Nipo Dar tegeta nyuki. Kwa mawasiliano njoo pm

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni asali mbichi au iliyochemshwa? Hukuichakachua? Pia naweza kupata isiyokamuliwa ile iliyokuwa kwenye majumba ya Nyuki?
 
Hivi kwa nini watu wanabeza kuchoma mahindi??au kwa jili MTU upo barabarani anapuliza moto.Tupige mahesabu jamani.Hapa ni pesa kama anapata na ziada na wewe wa ifisini unapata the same shida IPO wapi.After all wote hatuwezi kuwa Ofisini.Na mahindi wengi tunapenda kuyatafuna hence kipato kwao

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji106] [emoji106]
 
Back
Top Bottom