Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Kwa upande wangu sioni kama ni tatizo endapo inamuingizia kipato kinachomtosha na anafahamu malengo yake.Ndo maana yangu.
Pia Kwani Graduate hawezi choma mahindi? kuna usipecial gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuliko kukaa tu bora kuchoma mahindi.