CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
- Thread starter
- #161
Kwa nini asitekeleze? Shida zenu mnataja mtu aanze biashara January then December ikiwezakana anunue ndege.Huyo graduate anajitegemea mwenyewe kimaisha?
Anauza shilingi ngapi kwa siku?
Matumizi yake kwa siku ni shilingi ngapi?
Anabakia na shilingi ngapi kwa siku baada ya kutoa kiasi cha pesa anacho tumia kwa matumizi ya kawaida?
Kwa akiba hiyo kwa siku atakua na shilingi ngapi kwa wiki?
Je, anamipango mikubawa zaidi inayotegemea hiyo akiba kutoka kwenye mahindi?
Je, ataitekeleza hiyo mipango kweli kwa akiba hiyo?
tumpongeze/tumuonee huruma graduate mwenzetu.
Au basi awe na Benzi.
Ndo malengo yake anaishi anavyo taka na ana plan zake na atatekeleza kwa sababu ana comitment
Sent using Jamii Forums mobile app