Jana ilikuwa siku ya Furaha kukutana na Graduate anachoma mahindi Barabarani

Jana ilikuwa siku ya Furaha kukutana na Graduate anachoma mahindi Barabarani

Naona tumshauri jinsi ya kuboresha biashara yake sio kumkatisha tamaa. Ameplan mradi wake na akafanikiwa kuufanya. Tumsupport. Sawa na msomi akioa standard seven je utampa ushauri amwache. Yawezekana akawa mke bora zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi ninataka kuanza biashara ya kubrashi moka ila nitafanya mobile service, nakufata na kibegi cha tools popote ulipo...Maombi yenu tafadhali!!!
 
Nyi hata mumtetee but bado ni poor minded.
Labda kama tu ataifanya hio kazi kwa short time.
But in general hizo ni kazi za darasa la saba. Na akilogwa asilaumu mtu.
Acha dharau mkuu, nyie ndiyo mmelelewa na mama mpaka vyuoni mnapelekwa na kuchukuliwa kipindi cha likizo [emoji16] [emoji16] [emoji16], ukute hata kufagia uwanja nyumbani kwenu hujawai. Leo unaanza kuponda kazi eti ya darasa la saba. Hivi kwa mfano mzazi wako angekusomesha kwa kazi ya kuuza mahindi ungekuwa unamponda hivyo, fikiri kabla ya kukurupuka tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uyo jamaa anaforce kukuaa mjini.
Yani katika kufikiria kwake kaona achome maindi.
Kama mtu ni kijana anamalengo yake hana ukilema na anakaa mjini anachoma maindi.
Uyo ni mzembe anapenda kubaki town
Kijijini kuna fursa nyingi sana kilimo ata cha jembe la mkono ukikomaa nalo unatoka.
Kijana ukiingia mgodini kwa miezi sita tu ukafanya kazi kwa bidii wenye migodi hii midogo midogo unatoka.
Tatizo wasomi wengi wanasoma mavitabu na quotes za watu wa ulaya alafu wanafanyia application bongo. Hii ni africa iko tofauti sana.
Mnaenda kwenye semina za fursa za. Kinaruge wale wanawashauri muuze karanga za kutembeza town.
Wanaofaidika na izo kazi ni watu wenye mitaji mikibwa kama diamond karanga.


KIJANA NJOO KIJIJINI kama unamalengo kweli huwezi jutia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi angekuwa nafanya kazi Kwenye hotel pia ungeshangaa?

Au kisa mahindi? kuna cha ajabu nini? sio biashara?

Wanao yalima hayo mahindi wao vipi? hamuwashangai?


Sent using Jamii Forums mobile app
Nimepitia huko Mkuu ndo mana nashangaa, mi siwez kushabikia kitu ambacho sikijui. Kama alivyoanza kwenye mahind angeliweza kuanza hvyo hvyo kwenye ufund cm. Tatizo watu wanasomea vitu kwa kufuata mkumbo ndo madhara yake.
 
Nilikutana na dada mmoja Makambako anachoma mahindi aliniambia anapata faida ya ya sh 10,000 kwa siku.
Anaanza kuchoma kuanzia saa 10 jioni mpaka saa 3 usiku .
Mwaka 2015 nilikutana na mpaka rangi za kucha stend ya makumbusho aliniambia kwa usiku anapata mpaka 30,000.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uyo jamaa anaforce kukuaa mjini.
Yani katika kufikiria kwake kaona achome maindi.
Kama mtu ni kijana anamalengo yake hana ukilema na anakaa mjini anachoma maindi.
Uyo ni mzembe anapenda kubaki town
Kijijini kuna fursa nyingi sana kilimo ata cha jembe la mkono ukikomaa nalo unatoka.
Kijana ukiingia mgodini kwa miezi sita tu ukafanya kazi kwa bidii wenye migodi hii midogo midogo unatoka.
Tatizo wasomi wengi wanasoma mavitabu na quotes za watu wa ulaya alafu wanafanyia application bongo. Hii ni africa iko tofauti sana.
Mnaenda kwenye semina za fursa za. Kinaruge wale wanawashauri muuze karanga za kutembeza town.
Wanaofaidika na izo kazi ni watu wenye mitaji mikibwa kama diamond karanga.


KIJANA NJOO KIJIJINI kama unamalengo kweli huwezi jutia

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo mahindi akimaliza kuchoma anaya mwenyewe?

Akili nwendi kasi hizi. alie kudangabya kijijini ndo kuna fufuda pekee ni nani?acha kujifariji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo mahindi akimaliza kuchoma anaya mwenyewe?

Akili nwendi kasi hizi. alie kudangabya kijijini ndo kuna fufuda pekee ni nani?acha kujifariji

Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo bush sijaambiwa nanaona mwenyewe.
Tusubiri mrejesho wa ujo jamaa ata December
itakua vizuri labda Inaweza kulipa kweli kwasababu sijawai fanya iyo kazi mimi lakini sidhani kama kafanya uamuzi mzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikutana na dada mmoja Makambako anachoma mahindi aliniambia anapata faida ya ya sh 10,000 kwa siku.
Anaanza kuchoma kuanzia saa 10 jioni mpaka saa 3 usiku .
Mwaka 2015 nilikutana na mpaka rangi za kucha stend ya makumbusho aliniambia kwa usiku anapata mpaka 30,000.

Sent using Jamii Forums mobile app
Inazidi mishahara ya wengi wanao piga kelele humu sema tu watu tunatumia ID feki ungepigwa butwaa mkuu usione watu wanapanu midomo humu. siri wanazo wenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu inaonekana huna idea na biashara.
Yan kuchoma maindi unaweza kukusanya mtaji?????
Na apo ukiwa unajitegemea kila kitu

Mkuu utatafuta mchawi wakati mchawi ni akili zako
Piga kwanza hesabu kwa siku anakusanya faida kiasi gan toa matumiz yake ya kila siku.
Uyo graduator kapote

Sent using Jamii Forums mobile app

Na mkopo alipe
 
1. MTAJI.
Jiko la Kuchomea Mahindi siyo zaidi ya 15,000/=
Mkaa Ndoo moja haizidi 5000/=
Hindi moja bichi si zaidi ya 300/= Ukianza na Mahindi 50 = 15,000/=
Kiti cha kukalia 13,000/=
Jumla kuu ya Mtaji inakuwa 48,000/=

2. MAUZO.
Kwa siku ukiuza Mahindi yote 50 kwa Tsh 500/= @ Hindi unakuwa umepata Jumla ya Tshs. 25,000/=

3. MATUMIZI KWA SIKU.
Toa gharama za Mkaa, ukiwa umenunua Debe moja kwa wastani linaweza tumika kwa siku 4. Hivyo kila baada ya siku 4 unatakiwa kununua Mkaa mwingine. Hivyo, ukichukua gharama za Mkaa 5000/ 4 kwa siku inakuwa 1250/=

3i)CHAKULA.
Kifungua Kinywa = 1000.
Mchana = 1500
Usiku 1500
Jumla 4000/=

ii)Mawasiliano kwa siku 500/=
iii)Usafiri kwa siku 1000/=
iv)Kodi ya nyumba kwa mwezi 15,000. Kwa siku = 500/=
v)Umeme kwa mwezi 5000, kwa siku= 200/=
vi)Maji kwa siku ndoo 2 = 200/=
vii)Matibabu kwa mwezi 10,000/= kwa siku = 350/=

CHAKULA + MKAA + GHARAMA ZA MAHINDI 50 + MAWASILIANO+USAFIRI+KODI YA NYUMBA+UMEME+Maji+MATIBABU = 4,000+1,250+15,000 +500+1000+500+200+200+350= 23,000/=

FAIDA = MAUZO - MATUMIZI = 25,000 - 23,000 = 2000.

FAIDA @ Siku X 30 = 2000X 30 = 60,000/=

FAIDA MIEZI 6 = 60,000X 6 = 360,000/=

Baada ya Miezi 6.
Unaajiri Kijana wa Kuuza Matunda. Anakuwa na Toroli na Kabati ya Matunda. Ukichukua Faida yako ya kuuza Mahindi + Faida ya Matunda baada ya Mwaka mmoja utapata Mtaji wa Kupanga kwenye Frame na unaanza shughuli zako za IT mdogo mdogo, kumbuka Computer hapo unayo tangia Chuo.

Kumbe si haba, maana aliyejifanya kusubiri ajira yeye hapo anakuwa bado anahangaika na bahasha mkononi kwa miaka hata zaidi ya miwili mitatu.
 
Kuna sista alisoma sheria akawa anauza hoteli ya vyakula, ni yake! huo uzi ulikuwepo humu!!!

Kwa mtazamo wangu naamini kabisa mtu wa IT mpaka anamaliza mara nyingi wanakua na Lapotops, nadhani pamoja na kuchoma mahindi ni vyema akajifikirisha zaidi, anaweza anza tengeneza hata websites na softwares hata kwa bei ya chini, tatizo litakua kubwa kama alisoma IT bila kuwa na passion!!

Mpe pongezi zake mkuu!!
 
1. MTAJI.
Jiko la Kuchomea Mahindi siyo zaidi ya 15,000/=
Mkaa Ndoo moja haizidi 5000/=
Hindi moja bichi si zaidi ya 300/= Ukianza na Mahindi 50 = 15,000/=
Kiti cha kukalia 13,000/=
Jumla kuu ya Mtaji inakuwa 48,000/=

2. MAUZO.
Kwa siku ukiuza Mahindi yote 50 kwa Tsh 500/= @ Hindi unakuwa umepata Jumla ya Tshs. 25,000/=

3. MATUMIZI KWA SIKU.
Toa gharama za Mkaa, ukiwa umenunua Debe moja kwa wastani linaweza tumika kwa siku 4. Hivyo kila baada ya siku 4 unatakiwa kununua Mkaa mwingine. Hivyo, ukichukua gharama za Mkaa 5000/ 4 kwa siku inakuwa 1250/=

3i)CHAKULA.
Kifungua Kinywa = 1000.
Mchana = 1500
Usiku 1500
Jumla 4000/=

ii)Mawasiliano kwa siku 500/=
iii)Usafiri kwa siku 1000/=
iv)Kodi ya nyumba kwa mwezi 15,000. Kwa siku = 500/=
v)Umeme kwa mwezi 5000, kwa siku= 200/=
vi)Maji kwa siku ndoo 2 = 200/=
vii)Matibabu kwa mwezi 10,000/= kwa siku = 350/=

CHAKULA + MKAA + GHARAMA ZA MAHINDI 50 + MAWASILIANO+USAFIRI+KODI YA NYUMBA+UMEME+Maji+MATIBABU = 4,000+1,250+15,000 +500+1000+500+200+200+350= 23,000/=

FAIDA = MAUZO - MATUMIZI = 25,000 - 23,000 = 2000.

FAIDA @ Siku X 30 = 2000X 30 = 60,000/=

FAIDA MIEZI 6 = 60,000X 6 = 360,000/=

Baada ya Miezi 6.
Unaajiri Kijana wa Kuuza Matunda. Anakuwa na Toroli na Kabati ya Matunda. Ukichukua Faida yako ya kuuza Mahindi + Faida ya Matunda baada ya Mwaka mmoja utapata Mtaji wa Kupanga kwenye Frame na unaanza shughuli zako za IT mdogo mdogo, kumbuka Computer hapo unayo tangia Chuo.

Kumbe si haba, maana aliyejifanya kusubiri ajira yeye hapo anakuwa bado anahangaika na bahasha mkononi kwa miaka hata zaidi ya miwili mitatu.
Mkuu hayo mahesabu ni ya kufikirika tu

Kichumi zaidi apo iyo faida gawanya kwa 2 utapata 180,000 kwaiyo miezi 6

Kweli kijana aliyekamilika anamiguu miwili, anaakili timamu anafanya kazi 30 days per month alafu anasave 180,000

Sio mbaya lakini kuna kazi nyingi nzuri zaidi anazoweza fanya akapata zaidi ukizingatia ni kijana aliyesoma IT

Ndio maana watanzania wengi tunakua masikini kwa kufikiri kufanya vitu vyepesi huku tuliota ndoto za kua mabillionea



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom