Tunampongeza huku tukijiuliza pia elimu ya chuo kikuu ya IT imemsaidiaje. Je kwenye uchomaji huo kuna ICT based innovations alizoapply ? Je kwanini asidevelop hata app ya kusaidia watu kupata location ya mahindi yake, akaitangaza kwenye fb, insta na jf ili watu wote wa Arusha wapate mahindi kwake ?? Nampa pole...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app