Jana ilikuwa siku ya Furaha kukutana na Graduate anachoma mahindi Barabarani

Jana ilikuwa siku ya Furaha kukutana na Graduate anachoma mahindi Barabarani

Tunampongeza huku tukijiuliza pia elimu ya chuo kikuu ya IT imemsaidiaje. Je kwenye uchomaji huo kuna ICT based innovations alizoapply ? Je kwanini asidevelop hata app ya kusaidia watu kupata location ya mahindi yake, akaitangaza kwenye fb, insta na jf ili watu wote wa Arusha wapate mahindi kwake ?? Nampa pole...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hayo mahesabu ni ya kufikirika tu

Kichumi zaidi apo iyo faida gawanya kwa 2 utapata 180,000 kwaiyo miezi 6

Kweli kijana aliyekamilika anamiguu miwili, anaakili timamu anafanya kazi 30 days per month alafu anasave 180,000

Sio mbaya lakini kuna kazi nyingi nzuri zaidi anazoweza fanya akapata zaidi ukizingatia ni kijana aliyesoma IT

Ndio maana watanzania wengi tunakua masikini kwa kufikiri kufanya vitu vyepesi huku tuliota ndoto za kua mabillionea



Sent using Jamii Forums mobile app
Huko maofisini wanapata how much? Hahaha ndo maana nasema ni kwa sababu watu wanatumia fake ID la sivyo watu wangeumbuana sana humu.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunampongeza huku tukijiuliza pia elimu ya chuo kikuu ya IT imemsaidiaje. Je kwenye uchomaji huo kuna ICT based innovations alizoapply ? Je kwanini asidevelop hata app ya kusaidia watu kupata location ya mahindi yake, akaitangaza kwenye fb, insta na jf ili watu wote wa Arusha wapate mahindi kwake ?? Nampa pole...

Sent using Jamii Forums mobile app
Umesome post yangu au umetoka kibaruani na kurukia ku coment?

Hii mida sasa tuanze kutegemea coment za ajabu zaidi saa 10 sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hayo mahesabu ni ya kufikirika tu

Kichumi zaidi apo iyo faida gawanya kwa 2 utapata 180,000 kwaiyo miezi 6

Kweli kijana aliyekamilika anamiguu miwili, anaakili timamu anafanya kazi 30 days per month alafu anasave 180,000

Sio mbaya lakini kuna kazi nyingi nzuri zaidi anazoweza fanya akapata zaidi ukizingatia ni kijana aliyesoma IT

Ndio maana watanzania wengi tunakua masikini kwa kufikiri kufanya vitu vyepesi huku tuliota ndoto za kua mabillionea



Sent using Jamii Forums mobile app
Tuambie vizito unavyo fanya wewe. Na Ueleze na Jina kamili. make hapo ulipo umeajiriwa.

Kama umeajiriwa huna nguvu kumkosoa jamaa.

Kama unejiajiri unaweza kumkosoa jamaa.

But unafanya kazi kwa mwanaume mwenzako hupaswi kumkosoa kamwe.

Make tukipima yeye ni mjanja na amajaribu.

Wewe ni muiga na una aibu fullu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna sista alisoma sheria akawa anauza hoteli ya vyakula, ni yake! huo uzi ulikuwepo humu!!!

Kwa mtazamo wangu naamini kabisa mtu wa IT mpaka anamaliza mara nyingi wanakua na Lapotops, nadhani pamoja na kuchoma mahindi ni vyema akajifikirisha zaidi, anaweza anza tengeneza hata websites na softwares hata kwa bei ya chini, tatizo litakua kubwa kama alisoma IT bila kuwa na passion!!

Mpe pongezi zake mkuu!!
Huyo sisiter anatifauti gani na jamaa? Dhat is why nikasema ningesema jamaa kapiga IT na kwa sasa ana Bucha ya kuuza nyama nazani watu wasingeshangaa.

Kushangaa ni kwa sababu anauza mahindi.

Kosa lake ni mahibdi basi.

Ngoja wachina waendelee kuja Bongo make kama wangeweza kupitia humu kuona akili za kibongo wangesgangikia sana

Kwa wachina ni furusa kwa Wabongo ni kero

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huko maofisini wanapata how much? Hahaha ndo maana nasema ni kwa sababu watu wanatumia fake ID la sivyo watu wangeumbuana sana humu.



Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mimi sijahajiriwa.
Na ata si support vijaana waajiriwe ila wajiajiri kwenye biashara zinazoweza kuwasaidia wakakua kiuchumi.
Yani kakosa kazi zote adi afanye kazi ambayo kimsingi haiwezi kukuza mtaji wake zaidi ya kumpa yeye tu hela ya kula ata hawezi saidi familia yake.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuambie vizito unavyo fanya wewe. Na Ueleze na Jina kamili. make hapo ulipo umeajiriwa.

Kama umeajiriwa huna nguvu kumkosoa jamaa.

Kama unejiajiri unaweza kumkosoa jamaa.

But unafanya kazi kwa mwanaume mwenzako hupaswi kumkosoa kamwe.

Make tukipima yeye ni mjanja na amajaribu.

Wewe ni muiga na una aibu fullu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu naona elimu ya kujihajiri hujaijua bado.
Mimi sijahajiriwa na wala sina mpango huo.
Kwani aliyeajiriwa alafu anao uwezo wa kusave iyo 180,000 per month.
Na uyo unaemfurahia anaesave 180,000 per 6 months....
Nani mwenye akili..
Nani anaeweza kua na biashara kubwa baada ya mwaka mmoja.

Mpe ushauri uyo kijana anaeforce kubaki mjini.
Aje bushi uku songwe tupige kazi za kiume

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwakweli Jana nilijawa na furaha tele baada ya hapa Arusha kukutana na Graduate alie somea mambo ys IT anachoma mahindi.

Niliongea naye kwa kifupi sana ingawa nime mpromise kumtafuta tuongee zaidi.
Jamaa kaamua kuweka vyeti pembeni ni baada ya kutuma application nyingi bila mafanikio.

Kaamua kuondoa uoga na aibu na kwa sasa anapata mafanikio na nina amini hata Mungu yuko upande wake. Mungu huwa hayuko upande wa watu wenye aibu na waoga. Jamaa anakusanya mtaji hivyo kwa alicho somea si kwamba kaacha bali kuchoma mahindi ni kukusanya mtaji wa yeye kufanya mambo makubwa zaidi.


AIBU NA UOGA NDO MUHIMILI MKUU WA KUTO FANIKIWA.
e271eaa5f73352f5806d84d872d9d290.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera zake nyingi... Vijana inabidi tubadili mtazamo, maisha yamebadilika sana
 
huyo jamaa elimu haijamsaidia,fani ya IT haihitaji mtaji-mtaji ni maarifa aliyonayo kichwani
Mkuu umesoma IT kweli au unajua nini kuhusu IT
Hawa jamaa wa IT kitu kikubwa ni mtaji kama huna mtaji wa kueleweka mjomba hio IT inahitaji FUNDING kubwa sana
Vifaa gani vya kielectronik visivyo vya gharama au part ipi ya IT anaweza kujiajiri mwenyewe asihitaji gharama za kuanzia sio biashara ile kuandika proposal unapewa mtaji hawa jamaa wanaofanya development ya systems au kutengeneza application i issue sana kukubalika hasa product zao sababu ya security issues kama hujui hawa watu wana struggle vipi hahahahha usiwasemee

IT sio kuwa na laptop afu una click izo buttons ila kuna vifaa muhimu ili waweze kujiajiri wenyewe
 
Mkuu umesoma IT kweli au unajua nini kuhusu IT
Hawa jamaa wa IT kitu kikubwa ni mtaji kama huna mtaji wa kueleweka mjomba hio IT inahitaji FUNDING kubwa sana
Vifaa gani vya kielectronik visivyo vya gharama au part ipi ya IT anaweza kujiajiri mwenyewe asihitaji gharama za kuanzia sio biashara ile kuandika proposal unapewa mtaji hawa jamaa wanaofanya development ya systems au kutengeneza application i issue sana kukubalika hasa product zao sababu ya security issues kama hujui hawa watu wana struggle vipi hahahahha usiwasemee

IT sio kuwa na laptop afu una click izo buttons ila kuna vifaa muhimu ili waweze kujiajiri wenyewe
Hebu mwambie mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hayo mahesabu ni ya kufikirika tu

Kichumi zaidi apo iyo faida gawanya kwa 2 utapata 180,000 kwaiyo miezi 6

Kweli kijana aliyekamilika anamiguu miwili, anaakili timamu anafanya kazi 30 days per month alafu anasave 180,000

Sio mbaya lakini kuna kazi nyingi nzuri zaidi anazoweza fanya akapata zaidi ukizingatia ni kijana aliyesoma IT

Ndio maana watanzania wengi tunakua masikini kwa kufikiri kufanya vitu vyepesi huku tuliota ndoto za kua mabillionea



Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu, ni Principles zipi za kiuchumi ume apply ili kupata hizo hesabu zako? Je, ni kazi zipi hizo nyingine anaweza kufanya na akapata pesa.?

Kama fursa zipo rahs kiasi hicho kungekuwa na rundo la graduates wa IT wanahangaika kila kukicha kupata kazi/fursa..?

Je, una tarifa kuwa wapo graduates wengi waliomaliza na kusubiri kupata ajira / kutafuta fursa na sasa ni zaidi ya miaka mitano na hali yao bado ni ngumu kimaisha na hawajafanikiwa kwa chochote??

Je kama wangeanza na Idea ya kuchoma Mahindi kama huyo ndugu au kwa kufuata analysis hapo juu niloweka wangekuwa kama walivyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom