Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Mi sizani kama ni kitu cha kufurahisha!! Elimu ya tanzania ichunguzwe, viongozi wa kisiasa wajichunguze!!
Simlaumu muuza mahindi ila namwonea huruma kupoteza miaka mitatu chuoni!!
Kwa kifupi alisoma kitu ambacho hapendi!!
Simlaumu muuza mahindi ila namwonea huruma kupoteza miaka mitatu chuoni!!
Kwa kifupi alisoma kitu ambacho hapendi!!