Jana ndio nimeelewa kwanini GSM, MO, ASAS, BAKHRESA wote ni CCM

Jana ndio nimeelewa kwanini GSM, MO, ASAS, BAKHRESA wote ni CCM

Notorious thug

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2021
Posts
2,817
Reaction score
10,667
Naskia huko Mwanza kuna Bar moja imefungiwa kwa kukwepa Kodi kwa miaka miwili na ipo kwenye halmashauri ya Ilemela. Basi nikajiuliza miaka miwili wameweza vp kukwepa ila kumbe ishu nyuma ya pazia ni mambo ya Bandari. Matajiri wakubwa nchini wote ni CCM unadhani wamependa kua CCM wapo ili kulinda biashara zao. Kijana jiajiri na ukianza kufanikiwa kua mwana CCM ili kulinda biashara yako.
20230813_172927.jpg
 
Naskia huko Mwanza kuna Bar moja imefungiwa kwa kukwepa Kodi kwa miaka miwili na ipo kwenye halmashauri ya Ilemela. Basi nikajiuliza miaka miwili wameweza vp kukwepa ila kumbe ishu nyuma ya pazia ni mambo ya Bandari. Matajiri wakubwa nchini wote ni CCM unadhani wamependa kua CCM wapo ili kulinda biashara zao. Kijana jiajiri na ukianza kufanikiwa kua mwana CCM ili kulinda biashara yako.View attachment 2719770
Ukitaka mambo yako yasiharibike jiunge CCM. Ukiwa mwizi jiunge CCM. Ukiwa mtu wa biashara chafu jiunge CCM .Hakuna atakayekuguza.

CCM ndo kinga ya Maovu yote Nchini. Tanzania
 
Nakumbuka Mwanyika wa Acacia aliitwa fisadi na JPM na akapewa kesi ya uhujumu uchumi. Cha ajabu alipochukua kadi ya CCM tu JPM akampa ubunge huku akimpigia kampeni kuwa ni mzalendo!! Tokea hapo nikajua nchi hii ukitaka uwe fisadi bila kusumbuliwa jiunge CCM.
 
Kwenye Organisational Management kuna sehemu wanasema,"for any organisation to survive, it must change according to the prevailing political situation". Kiongozi wa taasisi yoyote makini Tanzania, Afrika na duniani kwa ujumla, anatakiwa kulijua hili. Nikuulize kwa mfano, kwanini makampuni ya Coca Cola, Pepsi na KFC kutaja kwa uchache yamefunga biashara zao Urusi?
 
Kwenye Organisational Management kuna sehemu wanasema,"for any organisation to survive, it must change according to the prevailing political situation". Kiongozi wa taasisi yoyote makini Tanzania, Afrika na duniani kwa ujumla, anatakiwa kulijua hili. Nikuulize kwa mfano, kwanini makampuni ya Coca Cola, Pepsi na KFC kutaja kwa uchache yamefunga biashara zao Urusi?
Hapo sasa unaongelea siasa za kimataifa na sio local politics. Hao KFC na Pepsi hawawezi kufungiwa kisa MD wao anaunga mkono Democrats au Republicans.
 
Naskia huko Mwanza kuna Bar moja imefungiwa kwa kukwepa Kodi kwa miaka miwili na ipo kwenye halmashauri ya Ilemela. Basi nikajiuliza miaka miwili wameweza vp kukwepa ila kumbe ishu nyuma ya pazia ni mambo ya Bandari. Matajiri wakubwa nchini wote ni CCM unadhani wamependa kua CCM wapo ili kulinda biashara zao. Kijana jiajiri na ukianza kufanikiwa kua mwana CCM ili kulinda biashara yako.View attachment 2719770
NCHI INA WATU WENTE ROHO MBAYA ILA TUTAONA MBINGUNI KAMA KUWA CCM UTEENDA PEPONI AU MOTONI
 
Back
Top Bottom