Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pale kinondoni kanisani viwanja vya biafra, wale wauza vitanda siku moja walipandisha bendera ya CUF, kilichowapata, ilibidi wairudishe bendera ya CCM. Maana siku ya pili tu waliambiw waondie vitanda vyao, pale si sehemu ya kufanyia biashara.Kwenye biashara ya kahawa...nimeweka bendera ya ccm
Alipigwa billioni mbili na kufungiwa account kipindi cha Mzilankende...Hivi Mbowe nae si ni mfanyabiashara?
Umenikumbusha Mbowe pia ni ccm!Naskia huko Mwanza kuna Bar moja imefungiwa kwa kukwepa Kodi kwa miaka miwili na ipo kwenye halmashauri ya Ilemela. Basi nikajiuliza miaka miwili wameweza vp kukwepa ila kumbe ishu nyuma ya pazia ni mambo ya Bandari. Matajiri wakubwa nchini wote ni CCM unadhani wamependa kua CCM wapo ili kulinda biashara zao. Kijana jiajiri na ukianza kufanikiwa kua mwana CCM ili kulinda biashara yako.View attachment 2719770
Mbowe ni mwanaCCM mwenzetu.Hivi Mbowe nae si ni mfanyabiashara?
Ulitaka uweke bendera ya chadema au?😂Kwenye biashara ya kahawa...nimeweka bendera ya ccm
Umenikumbusha Papian Mbunge wa Kiteto raia wa Kagame yupo wapi?Ccm ndio kinga ya wahalifu hata warundi haramu wanajichomeka kwenye vyeo vya ccm
Naskia huko Mwanza kuna Bar moja imefungiwa kwa kukwepa Kodi kwa miaka miwili na ipo kwenye halmashauri ya Ilemela. Basi nikajiuliza miaka miwili wameweza vp kukwepa ila kumbe ishu nyuma ya pazia ni mambo ya Bandari. Matajiri wakubwa nchini wote ni CCM unadhani wamependa kua CCM wapo ili kulinda biashara zao. Kijana jiajiri na ukianza kufanikiwa kua mwana CCM ili kulinda biashara yako.View attachment 2719770
sio afrika, ni duniani kote mkuu!Kwa kifupi, huwezi kufanya biashara na ukawa kinyume na serikali hapa Afrika
Watu wa siasa wanachotaka ni stability katika nafasi zao kisiasa, ukishaanza kuwa threat kwenye hizo nafasi wanakuwa threat kwenye biashara zako.Hapo sasa unaongelea siasa za kimataifa na sio local politics. Hao KFC na Pepsi hawawezi kufungiwa kisa MD wao anaunga mkono Democrats au Republicans.
Ndio, kamuulize ni kipi kiliipata Bilicanas Club!!.Hivi Mbowe nae si ni mfanyabiashara?
Kuna nchi hazina chama tawala.Nakumbuka Jacob Zuma alisema kua,nanukuu,ni mfanyabiashara mjinga pekee ambae hayupo chama tawala
Wakina Ndesaburo mbona walikuwa wanafanya? Nchi imejaa waoga sana hawa yaani uoga utatuisha siku tukaingia kabulini. Mbowe alikuwa anafanya Biashara na awamu ya.Magufuri ni sema walianza hadi kufanya yale mambo ya plundering and lootingKwa kifupi, huwezi kufanya biashara na ukawa kinyume na serikali hapa Afrika
Sio Marekani au Ulaya.sio afrika, ni duniani kote mkuu!
huwezi kuwa tajiri mkubwa bila kuwa well connected na watawala (mifumo ya utawala),
Hata hapo Kenya tu wakina Odinga wana Biashara zinaelewaka na hawafanwi kitu, tatizo Tanzania imejaaa mazezeta sana waoga tupuHapo sasa unaongelea siasa za kimataifa na sio local politics. Hao KFC na Pepsi hawawezi kufungiwa kisa MD wao anaunga mkono Democrats au Republicans.
Kuna wapinzani kibao walikuwa wanafanya biashara zao na ni wapinzani na wanajulikana fika, Wakina Ndesa pesa enzi zake, shida wabongo wamejaa biashara za magumashi zile za Mision town ndio maana wanaona hawawezi toboa bila CCMHivi Mbowe nae si ni mfanyabiashara?
Yule alie ifunga si aliwateka hadi hao CCM? mbona kuna CCM kibao tu wameisoma number? Unazani ishu ya Mo Imekaaje si ni CCM damu?Billicanas bado ipo? [emoji1][emoji1][emoji93][emoji91]