Jana ndio nimeelewa kwanini GSM, MO, ASAS, BAKHRESA wote ni CCM

Jana ndio nimeelewa kwanini GSM, MO, ASAS, BAKHRESA wote ni CCM

Hivi Mbowe nae si ni mfanyabiashara?
Yes. Lakini si unakumbuka hpteli yake ya Protea pale Machame ilifungwa enzi za mwendazake? Mashamba yake ya mbogamboga yaniharibiwa na RC Gelasius Byakanwa. Club yake maarufu Billicanas ilibomolewa!
 
Ujinga huu upo sana Tanzania.Nchi kama kenya wafanyabiashara wakubwa wanasupport upinzani lakini hautasikia biashara zao zimefungwa..
1692273201810.png


Sijui unapata wapi news kutoka Kenya, huyu Mama alikuwa ni supporter wa Ruto wakati wa Uhuru.... anyways, wako better kuliko sisi, lakini haina maana kuwa hawana ujinga. Mara baada ya Ruto kuingia, kesi za washirika wake zikaanza kufutwa bila maelezo
 
View attachment 2719841

Sijui unapata wapi news kutoka Kenya, huyu Mama alikuwa ni supporter wa Ruto wakati wa Uhuru.... anyways, wako better kuliko sisi, lakini haina maana kuwa hawana ujinga. Mara baada ya Ruto kuingia, kesi za washirika wake zikaanza kufutwa bila maelezo
Ni mpuuzi huyo Jamaa anajiongrlesha ujinga,saizi Kenyatta anapata harassment kutoka Kwa Ruto likewise alifanya wakati yeye ni Rais.

Jimbo la Raila Jamaa hajapeleka mradi hata mmja wa Barabara 😂😂

Yanaropoka tuu hayajui kitu,labda Kenya ya nyumbani kwao.
 
Ni mpuuzi huyo Jamaa anajiongrlesha ujinga,saizi Kenyatta anapata harassment kutoka Kwa Ruto likewise alifanya wakati yeye ni Rais.

Jimbo la Raila Jamaa hajapeleka mradi hata mmja wa Barabara 😂😂

Yanaropoka tuu hayajui kitu,labda Kenya ya nyumbani kwao.
Wanaropoka tu...

1692274206919.png
 
Ma ukitaka cheo au jipendekeze,kata viuno kwenye matamasha ya siasa,na mikutano.sifia Sana kama mtangazaji.teuzi iko pale
 
Naskia huko Mwanza kuna Bar moja imefungiwa kwa kukwepa Kodi kwa miaka miwili na ipo kwenye halmashauri ya Ilemela. Basi nikajiuliza miaka miwili wameweza vp kukwepa ila kumbe ishu nyuma ya pazia ni mambo ya Bandari. Matajiri wakubwa nchini wote ni CCM unadhani wamependa kua CCM wapo ili kulinda biashara zao. Kijana jiajiri na ukianza kufanikiwa kua mwana CCM ili kulinda biashara yako.View attachment 2719770
 

Attachments

  • 21C84A78-4B56-4B30-87DA-89CA4203035C.jpeg
    21C84A78-4B56-4B30-87DA-89CA4203035C.jpeg
    35.5 KB · Views: 1
Naskia huko Mwanza kuna Bar moja imefungiwa kwa kukwepa Kodi kwa miaka miwili na ipo kwenye halmashauri ya Ilemela. Basi nikajiuliza miaka miwili wameweza vp kukwepa ila kumbe ishu nyuma ya pazia ni mambo ya Bandari. Matajiri wakubwa nchini wote ni CCM unadhani wamependa kua CCM wapo ili kulinda biashara zao. Kijana jiajiri na ukianza kufanikiwa kua mwana CCM ili kulinda biashara yako.View attachment 2719770
Inafahamika kitambo sana
 
sio afrika, ni duniani kote mkuu!
huwezi kuwa tajiri mkubwa bila kuwa well connected na watawala (mifumo ya utawala),

ni afrika na baadhi ya nchi za asia.
Nchi zinazojitambua kama us na ulaya hazina huu upumbavu.
 
Nakumbuka Mwanyika wa Acacia aliitwa fisadi na JPM na akapewa kesi ya uhujumu uchumi. Cha ajabu alipochukua kadi ya CCM tu JPM akampa ubunge huku akimpigia kampeni kuwa ni mzalendo!! Tokea hapo nikajua nchi hii ukitaka uwe fisadi bila kusumbuliwa jiunge CCM.
Hata Lowassa alipochukua tu kadi ya Chadema, tuhuma za ufisadi zikaisha
 
Back
Top Bottom