Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 15,328
- 11,192
Yes. Lakini si unakumbuka hpteli yake ya Protea pale Machame ilifungwa enzi za mwendazake? Mashamba yake ya mbogamboga yaniharibiwa na RC Gelasius Byakanwa. Club yake maarufu Billicanas ilibomolewa!Hivi Mbowe nae si ni mfanyabiashara?