Jana ndio nimeelewa kwanini GSM, MO, ASAS, BAKHRESA wote ni CCM

Jana ndio nimeelewa kwanini GSM, MO, ASAS, BAKHRESA wote ni CCM

Kijana jiajiri na ukianza kufanikiwa kua mwana CCM ili kulinda biashara yako

Tukijipendekeza kwa chama dola kongwe kabla ya kufikia viwango vya GSM, MO, ASAS, BAKHRESA Group of Companies etc tutaishia kuwa matajiri-uchwara. Makampuni hayo makubwa yanaogopewa na serikali kwani ndiyo walipa kodi wakubwa tajwa.

Kwa maana hizi, ukiambiwa wewe ni tajiri uchwara petty bourgeoisie au Don nadie , maana yake utajiri wako bado haujafikia kiwango halisi cha kutambulikana. Wewe ni utaendelea kuwa tajiri wa chini atakaye filisika kabisa muda wowote ule.
 
Hata Lowassa alipochukua tu kadi ya Chadema, tuhuma za ufisadi zikaisha
Tuhuma? Yule Mwanyika alikiri kosa kabisa na akalipa fine ya billion 2 ila bado akapewa ubunge licha ya kukiri ufisadi. But Lowassa hakua amepelekwa mahakamani Wala kukiri ufisadi.

So hazifanani kabisa
 
Tukijipendekeza kwa chama dola kongwe kabla ya kufikia viwango vya GSM, MO, ASAS, BAKHRESA Group of Companies etc tutaishia kuwa matajiri-uchwara. Makampuni hayo makubwa yanaogopewa na serikali kwani ndiyo walipa kodi wakubwa tajwa.

Kwa maana hizi, ukiambiwa wewe ni tajiri uchwara petty bourgeoisie au Don nadie , maana yake utajiri wako bado haujafikia kiwango halisi cha kutambulikana. Wewe ni utaendelea kuwa tajiri wa chini atakaye filisika kabisa muda wowote ule.
🤔🤔🤔🤔🤔🤔
 
Back
Top Bottom